Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!
Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Ngoja ninywe maziwa kwanza halafu nije kusoma tena