Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Acha uongo Museveni hakusika na kifo cha Dk Omar.

Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
 
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
Mkuu, nini hasa ilikuwa sababu ya M7 kuwa target?
 
2006 Jakaya alibadilisha kutoka kunyongwa mpaka kifungo cha Maisha
2012 wakaachiwa kwa Msamaha lakin yote hayo haya kuwa kwny front page za Magazeti kwa kuwa Mtawala wa wakati huo alikuwa anajua ingeamsha Mjadala wa Imran Kombe namna alivyotutoka

Duh aisee hapa ndipo naogopa hata kugombea uenyekiti kitongojini
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Kwetu cha mtoto, USA ndo baba lao
 
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!


Kwanini m7 alikuwa target!???
 
Issue ya EL kwenda CDM ni sehemu ya karma pia kwaajili ya CCM!! Mkuu endelea na main content usihamishe mada!!
Nimekuelewa kwanini boys2 men walimsilence daktari yule ukizingatia kipindi kile yeye ndo alionekana wazi angevaa viatu vya nkapa hasa ukizingatia kuwa ilikuwa zamu ya Zanzibar. Ila swali hapa ni Museveni was targeted Ni nani alibadilisha zile sahani dakika za mwisho?
 
Kwetu cha mtoto, USA ndo baba lao

Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikali hadharani akaitwa kujieleza kwenye Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakini Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake.

Alirudishwa kwenye sanduku!

Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
 
Back
Top Bottom