Kapustakasha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 248
- 423
Acha uongo Museveni hakusika na kifo cha Dk Omar.
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!