Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teacher alikuwa kwenye hali mbaya kuna among his personal guards kutoka secret agents known as Mkanzabi pamoja yule Tendewa Aloyce wana Mengi ya kusimulia bt as far as in spy professionals you have to keep secret kamwe hawawezi kuongea chochote since they swore to keep secrets otherwise it's death ahead.Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.
Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Ukiingia kwenye Library kubwa mfano huku utakuta historia imeweka kila kitu open lakini huko kwetu hali ipo kinyume kabisa sasa tukitaka watoto wajifunze kidogo tumshukuru na kaka Maxence Melo jf tycoon kwa busara zake on condition of anonymity tunaharisha humu vyakutosha .WAJAMENI MAKABURI MENGINE SIO YA KUFUKUA KABISA, YATUPASA KUYAFUNIKA KWA ZEGE ILI MWANAHARAMU ASEPE ZAKE. KUFUKUA MAKABURI TUNAAMSHA KISASI MIOYONI MWA WAHANGA, NA KUHATARISHA MAISHA YA ALIYETII AMRI KAMA ILIVYO ADA YA KAZI YAKE.
Shikamoooo mkuuuHorace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!
Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Mkuu uko vyema sana aiseeeHilo ni Somo refu sana Ndugu yangu hapa tutatoka nje ya mada!
Pengine Leo Hii tuna Amani Tanzania kwa kuwa Congo Hakuna Amani n.k
Duh! Bt anyway ngoja nistie neno.Madaraka ya kulevya 2005
Kisha walingoziMkimaliza ya Dr Omary muende kwa Balali
Nimekuelewa mkuu. ILA library za wenzetu huweka taarifa kama hizo baada ya miongo kadhaa. Kiuhalisia baadhi washukiwa wanaotajwa bado wako madarakani, mfano tunaposema M7 au Kabila alilengwa tunatafuta nini? Tukumbuke kuwa "so far the kingdom has expanded".Ukiingia kwenye Library kubwa mfano huku utakuta historia imeweka kila kitu open lakini huko kwetu hali ipo kinyume kabisa sasa tukitaka watoto wajifunze kidogo tumshukuru na kaka Maxence Melo jf tycoon kwa busara zake on condition of anonymity tunaharisha humu vyakutosha .
Inzi wako kazini; kuwatrack Hawa watu lazima use na akili ya ziada wanalipwa kwa Kazi hii......Unaharibu uzi wa watu, babu seya anaingiaje hapa?
Dahhh hataree aiseeHorace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!
Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Hehehehe mkuu r u saying hata mzee wetu mzanaki ni kazi ya mikono ya boys 2 men?Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....
Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!
Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
U think unajuaUmeonaeeeh lakini kutuambia sijui alimchukulia kikwete mwanamke au walibaka mie nakataa maana MAGUFURI namjuwa
HNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.
Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Sio alionekana bali ndiye mtu aliyekuwa akisubiriwa!! Dhambi za Boys2men kuelekea 2005 hazipimiki!!Ni kweli huyo vice president alikuwa mstari wa mbele kuwahimiza ndugu zake waislamu kutokukimbia umande inshort alipendwa sana .
Alionekana kama mtu atakae kuja kumrithi Nkapa ila kwakua vijana machachari walikuwa kazini wakijiita boys2 men a.k.a golden boys mission accomplished in 2001
Yeah.... unajua mzanaki aliuguzwa na nani London na alipata nini baada ya Boys2men kumwangusha Mmakua pale Chimwaga?Hehehehe mkuu r u saying hata mzee wetu mzanaki ni kazi ya mikono ya boys 2 men?
Kama sikosei ni kingunge mkuuYeah.... unajua mzanaki aliuguzwa na nani London na alipata nini baada ya Boys2men kumwangusha Mmakua pale Chimwaga?