Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Teacher alikuwa kwenye hali mbaya kuna among his personal guards kutoka secret agents known as Mkanzabi pamoja yule Tendewa Aloyce wana Mengi ya kusimulia bt as far as in spy professionals you have to keep secret kamwe hawawezi kuongea chochote since they swore to keep secrets otherwise it's death ahead.
 
WAJAMENI MAKABURI MENGINE SIO YA KUFUKUA KABISA, YATUPASA KUYAFUNIKA KWA ZEGE ILI MWANAHARAMU ASEPE ZAKE. KUFUKUA MAKABURI TUNAAMSHA KISASI MIOYONI MWA WAHANGA, NA KUHATARISHA MAISHA YA ALIYETII AMRI KAMA ILIVYO ADA YA KAZI YAKE.
Ukiingia kwenye Library kubwa mfano huku utakuta historia imeweka kila kitu open lakini huko kwetu hali ipo kinyume kabisa sasa tukitaka watoto wajifunze kidogo tumshukuru na kaka Maxence Melo jf tycoon kwa busara zake on condition of anonymity tunaharisha humu vyakutosha .
 
Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!

Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Shikamoooo mkuuu
 
Ukiingia kwenye Library kubwa mfano huku utakuta historia imeweka kila kitu open lakini huko kwetu hali ipo kinyume kabisa sasa tukitaka watoto wajifunze kidogo tumshukuru na kaka Maxence Melo jf tycoon kwa busara zake on condition of anonymity tunaharisha humu vyakutosha .
Nimekuelewa mkuu. ILA library za wenzetu huweka taarifa kama hizo baada ya miongo kadhaa. Kiuhalisia baadhi washukiwa wanaotajwa bado wako madarakani, mfano tunaposema M7 au Kabila alilengwa tunatafuta nini? Tukumbuke kuwa "so far the kingdom has expanded".
 
Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!

Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Dahhh hataree aisee
 
Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....

Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!

Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
Hehehehe mkuu r u saying hata mzee wetu mzanaki ni kazi ya mikono ya boys 2 men?
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
HNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.

Habari ya mwalimu Butiama ilianza na prof David mwakyusa aliyekua mganga wake na kuhitimishwa na muuguzi au mwangalizi wake pale St Thomas London ambae ni Kingunge Ngombale mwiru!!

Connect dots kwa Mwakyusa na Kingunge kuzawadiwa mamlaka mara tuuu baada ya Boys2Men kumwangusha mmakua pale Chimwaga....

Habari ni ndefu ila tunamezea tu.
 
Ni kweli huyo vice president alikuwa mstari wa mbele kuwahimiza ndugu zake waislamu kutokukimbia umande inshort alipendwa sana .

Alionekana kama mtu atakae kuja kumrithi Nkapa ila kwakua vijana machachari walikuwa kazini wakijiita boys2 men a.k.a golden boys mission accomplished in 2001
Sio alionekana bali ndiye mtu aliyekuwa akisubiriwa!! Dhambi za Boys2men kuelekea 2005 hazipimiki!!
 
Wakuuu huu Uzi umefukua vitu adimu sana ila tatizo mnatuchanganya kidogo
Ukianza na pishu ya kifo cha Ali Juma target alikua nani hasa DDR au kabila?
Kama ni kabila alikua targeted na nani?
[HASHTAG]#billy[/HASHTAG],[HASHTAG]#pohamba[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom