Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Yule mpemba R.I.P baada ya mapambio kule kilwa road alirudi magogoni na mgeni huyo ila kilichofuatia huko Haile Selassie Na shaban robert au cocobeach ni bendera nusu mlingoti na nyimbo za komba.
Nimeupenda uandishi wako.Ni kama bado upo msibani.Yaani unaongea kidogo maneno yasiyoeleweka,unaanza kulia kwa kwikwi kali. Halafu,unafuta kamasi ,machozi na jasho.Kisha unaendelea kusimulia jinsi ulivyompenda marehemu.
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Kuna IGP alichapwa risasi 11 akiwa na familia yake mchana kweupe tena na vijana wake kabisa...
 
Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....

Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!

Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
kundi la boys2men liliundwa na nani na nani!?
 
bily ni kwanini gwajima alikamatwa,hata baada ya pengo kumsamehe?

Na hao wenye nchi ni akina nani?
Mkuu kuna watu ni untouchable ukiwagusa basi utaumia au utaumizwa na wenyenchi ujawahi kusikia huko kwamba askofu anatawala nchi watu wakalalamika ili kubalance wazee wa system wakaja na BAKWATA hivi ushajiuliza kwa nini Sheikh Ponda halitaki wala haelewani na BAKWATA ? Hicho chombo kiliundwa na ccm kuwaada waislamu huko.
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Comment yako imenifanya nielewe kitu 1 kikubwa sana. Kuwa your only safe kama ukiwa the man on top ila ukishashuka tu wewe tayari unakuwa kama akina sie pangu pakavu.
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Duuuhh ilikuwaje
 
Back
Top Bottom