Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

umewaza mbali sana, akili kama hizi ndo zinatakiwa kwenye intelligence siyo wale vijana kila Sikh kutisha watu mtaani
 
Laurent usimsahau.. batu ba congo rwanda burundi... Benja angeamua angefany kam paulo anavyofanya Congo... Kama zenji na bongo
 
Nyie hebu kila mmoja amuingilie mwenzie PM mmalizane kiu zenyu huko, mnaturefushia huu uzi kwa malumbano ya adolescence.
 
Kumbe wanayakoroga wenyewe,mpaka mwili umesisimka
 
Hamna jipya duniani mkuu haya yote marudio yalishazungumzwa . Sasa kama ni vitisho sijui unamtishia nani nyie kwa kujifanya secret agents hamjambo ! We soma au pita hivi.[/QUOTE
Nimekuuliza kama una uhakika Jibu Swali.
 
Fact's..... that's true.
Kuna Uzi wangu niliuandika kuhusu BAKWATA.
Kakobe yeye anaweza akatapika mpaka nyongo ila kamwe atakua anatwanga maji kwenye kinu . Hivi mnakumbuka ule waraka wa kakobe aliomuandikia Khalfani Kipindi kile akidai umetoka kwa Mungu ? Tatizo mnasahau labda changamoto za kimaisha !

Siku atakapotoa neno mwanakitengo a.k.a Dar archbishop hapo ndipo nitajua tunaelekea ukombozi kupitia pia viongozi wa dini Ila kwasasa there is nothing going on. Take it from me bila katiba mpya ccm itatawala milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…