Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Kuna mwalimu wangu mmoja wa sociology alinifubdisha kuwa moja ya sifa kubwa ya jamii masikini ni kutokukubali kuwa kuna natural death kwa binadamu. Kila kifo kina mtu nyuma yake.
Wew unaongea pumba kabsa, ebu nenda ulaya utajua MTU Hata Kama amekufa kwa ajali ya moto au Hata ajali watamchunguza tu wajue nn chanzo cha kifo coz inawezkana alikufa kabla ya kuungua n.k so unasema hao ni masikini
 
Sasa huyu sizonje katoka wapi ?
Huyo ni kijana wa Mr Clean ambae karata ilimpa ushindi baada ya lile kundi kuparaganyika. Umesahau harakati za kujivua gamba. !

Siasa za uchumi za mr clean na huyu hazina utofauti , mr clean alibana matumizi huku akisema wazi fungeni mkanda ila huyu anajitia the defiant ataki kusema ndio maana mnalia hali ngumu waliokuepo enzi za mkapa wanaona marudio tu haya.
 
Anhaa kwa hiyo tuseme Mr clean aliamua kulipa kisas kwa kutokubal boys2men waongoze tena maana ambaye angefuata hapo ni lowassa na inaonkna Mr clean alikua na hasira na mkwere so itakua walivurugana kwenye kamat sasa mkuu hebu tufikirie jee boys2men hawana mpango wa kusimamisha mgombea mwingne 2025 au ndo sizonje kapewa kazi ya kulitokomeza hili kundi?
 
Kuna mwalimu wangu mmoja wa sociology alinifubdisha kuwa moja ya sifa kubwa ya jamii masikini ni kutokukubali kuwa kuna natural death kwa binadamu. Kila kifo kina mtu nyuma yake.
...Juzi ex CIA agent, aliyekuwa anakaribia kukata roho ali confess kwamba Bob Marley aliuwawa (huo uzi umo humu), kamuulize huyo mwl wako anasemaje kuhusu hili?
 
Maonesho ya sabasaba yanaanza kabla ya tarehe 7
 
Kwa nini Yule mmasai aliondolewa!? Je, top wa wakati huo hakuhusika!?
 
Kuna mtu alipatia na kuna mtu kanakili vibaya hakueleweka ipasavyo Ila 07/4 04/7 moja ikaanza tareh nyengin mwez and vice versa... Kitu kidogo sana hicho ungekiacha tu
mweshimiwa amekufa tarehe saba mwezi wa nne, swali; maonyesho ya sabasaba yanahusikaje hapa? mbona mnapotezea swali la msingi?
 
Lutengano moja hiyo.
 
Mheshimiwa alifariki tarehe 4 mwezi wa 7 mida ya usiku baada ya kuwa alihudhuria maonesho ya sabasaba mchana was siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…