Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Ipo siku huu ukweli utakuja kuwekwa wazi hata ipite miaka miambili nakumbuka hiyo documentary ilitoka mwanzo wa utawala wa mkwere
Nilipata kuiona hiyo documentary, watu waliokuwa wanahojiwa ni wakawaida kabisa kama vile wabeba mizigo na makahaba ambao walionekana kufahamu kuwa zile ndege zinazoijia minofu ya samaki hubeba siraha pia, haina tofauti na ile blood diamond ya Charles Taylor ndege zinazoijia almas ndo zilibeba siraha!
 
Mkuu ukiendelea hebu uanzie pale uliposema maiti ilipasuka uwanja wa taifa maana ulisema halafu ukapotea maana hili limekuwa geni kwelikweli

Yaani leo sijatoka kwenye huu uzi
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ?

Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?
 
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?

Mkuu unaweza jazia kidogo kwenye hili.
 
Ina maana unaweza kukuta mamvi yupo kwenye kazi maalumu baadae arudi nyumban?
 
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?
Mkuu inaonekana wewe unajua kitu hebu tupe data
 
Prof Wamba Dia Wamba,yupo wapi huyu mtu?nilikuwa napenda sana kusikia jina lake haswa kwenye frequency za DW..
 
....Good Answer.
No more question.
 
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?
Naskia kuna nyani alilia sana sikukadhaa pale butiama baada ya mwalimu kuzikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…