Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwanini Nyerere mnamuita Mchonga?Ni lini Kitine alijaribu kumpindua Mchonga?
Kaeni kimya uongo mwingine haufai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Nyerere mnamuita Mchonga?Ni lini Kitine alijaribu kumpindua Mchonga?
Kaeni kimya uongo mwingine haufai
Nilipata kuiona hiyo documentary, watu waliokuwa wanahojiwa ni wakawaida kabisa kama vile wabeba mizigo na makahaba ambao walionekana kufahamu kuwa zile ndege zinazoijia minofu ya samaki hubeba siraha pia, haina tofauti na ile blood diamond ya Charles Taylor ndege zinazoijia almas ndo zilibeba siraha!Ipo siku huu ukweli utakuja kuwekwa wazi hata ipite miaka miambili nakumbuka hiyo documentary ilitoka mwanzo wa utawala wa mkwere
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ?Mkuu ukiendelea hebu uanzie pale uliposema maiti ilipasuka uwanja wa taifa maana ulisema halafu ukapotea maana hili limekuwa geni kwelikweli
Yaani leo sijatoka kwenye huu uzi
Aisee, hata mm leo sijacheza mbali na huu Uzi.Mkuu ukiendelea hebu uanzie pale uliposema maiti ilipasuka uwanja wa taifa maana ulisema halafu ukapotea maana hili limekuwa geni kwelikweli
Yaani leo sijatoka kwenye huu uzi
Karma ni sawa na kusema malipo ni hapa hapa duniani.Wakuu vipi kuhusu karma?hiki ni kitu gani?
Akishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?
Google picha ya mwl aliyotabasamu, iko kwenye black n white halafu angalia yale meno yakeKwanini Nyerere mnamuita Mchonga?
Asante mkuu kwa kunipa mwanga,japo umeniacha hewani hapo kwenye mtanzania mwenye asili ya India.
Ina maana unaweza kukuta mamvi yupo kwenye kazi maalumu baadae arudi nyumban?Vasco da Gama Ni mtoto wa mjini anajua sana kucheza karata zake , Aziza huko alipo anaendelea na kazi zake kumbuka undercover agent of CIA usiulize maswali Mengi elewa hivo hivo , Olegwain huko Kinondoni mission yake Kama vile haipo kumbe yupo ila he is killing opposition parties via cdm slowly.
Tutatoka kwenye mada mkuu ila ukweli ndio huo ! Wote waliokuja na jamaa wengi wamerudi nyumbani kwao wakapokelewa tena na halaiki. Kama una macho nadhani unaona.Ina maana unaweza kukuta mamvi yupo kwenye kazi maalumu baadae arudi nyumban?
Mkuu haya mengine ni kusoma tu na kujifunza,hii sio story ya Zari na Daimondi..Huu uzi mzuri ila umekosa wachangiaji
...nitumie namba zao ninashida nao katika ujenzi wa taifa.Kama sikosei anaitwa imran kombe alipigwa chuma pale mailisita moshi kwa kudhaniwa kuwa ni jambaz walio fanikisha hilo walifungwa jela ila now wapo mtaani wawili nimesha onana nao katika shughuli za ujenzi wa taifa
Mkuu inaonekana wewe unajua kitu hebu tupe dataAkishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?
Prof Wamba Dia Wamba,yupo wapi huyu mtu?nilikuwa napenda sana kusikia jina lake haswa kwenye frequency za DW..Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!
Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal
Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!
Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
....Good Answer.Mkuu pipi mti karma ni adhabu ambaye wewe unalipwa kulingana na kitu ulichofanya duniani either mbaya au nzuri mf: Umemdhulumu bwana Pohamba au lusungo hela zake basi wakakuambia Mungu anakuona na malipo ni hapa hapa duniani basi akitokea mtu mwingine nawewe akakudhulumu kiasi cha pesa kile au zaidi basi tunaita KARMA . Am standing for correction.
Naskia kuna nyani alilia sana sikukadhaa pale butiama baada ya mwalimu kuzikwaAkishakueleza hayo muambie agusie nini ilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa ubao wa kaburini kule Butihama alipozuru Mr Ukweli na uwazi ? Tambiko gani ilifanywa mpaka mi mizimu waliompeleka Mr Clean Ulaya ukamrudisha akiwa hai huku akijikongoja ?