Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mkuu pipi mti karma ni adhabu ambaye wewe unalipwa kulingana na kitu ulichofanya duniani either mbaya au nzuri mf: Umemdhulumu bwana Pohamba au lusungo hela zake basi wakakuambia Mungu anakuona na malipo ni hapa hapa duniani basi akitokea mtu mwingine nawewe akakudhulumu kiasi cha pesa kile au zaidi basi tunaita KARMA . Am standing for correction.
long story short:-

"what goes around comes around"
 
Nje kidogo ya mada.

Hivi kwa nini hawa makamu wa rais toka zanzibar wanakuwaga maboya? Yaani hawana ile ladha ya uongozi. Kuanzia Abdul Wakili, marehemu Dr Omary Alli Juma, Dr Shein, Ghraibu Bilali mzèe wa mikasi na huyu mama samia Suluhu. Yaani sijui nieleze vp.

Uwezi kujua kama ni wapole, hotuba zao hazina ladha zimepoa yaani ccm wanatuletea watu wa ajabu kweli. Kama Bilali ndio alikuwa mzigo kabisa.

Kwenye topic ni kwamba target alikuwa Joseph kabila. Lakini kutokana na uboya wa Dr Omary alishindwa kungamua mwishowe akabadilishiwa sahani/glass na kunywa/kula sumu iliyotakiwa kumuua Kabila. Nashangaa system walishindwaje kumwepusha na huu mtego.
pemgine humjui vema Gharib Billal na upande wake wa pili wa shilingi.

Gharib Billal akiwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Salmin Amour " Komandoo " wote kwa pamoja walitawala kwa mabavu na mkono wa chuma. Waliwatesa Wapemba kwa kiwango cha hali ya juu sana mpaka wengine wakakimbia kisiwa. Mojawapo ni kesi ya Uhaini waliobambikiwa Maalim Seif pamoja na Hamad Rashid.

Gharib alijua baada ya Salmin kumaliza hatamu yake kijiti angeachiwa yeye, kumbe haikuwa hivyo akapewa Karume Jr akatawala miaka 10 yake ikaisha.

Alipomaliza Karume, Gharib akahisi atapewa yeye nchi, ila wazee wa Bara wakamuweka Shein halafu wakamleta Gharib Billal huku Bara ili awe makamu wa Rais ili amuache Shein atawale vizuri kule Zenji.

Na kama ujuavyo, Mzenji hata awe mbabe kiasi gani akija Bara anakuwa Mnyonge!

Ngoja niishie hapa!
 
pemgine humjui vema Gharib Billal na upande wake wa pili wa shilingi.

Gharib Billal akiwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Salmin Amour " Komandoo " wote kwa pamoja walitawala kwa mabavu na mkono wa chuma. Waliwatesa Wapemba kwa kiwango cha hali ya juu sana mpaka wengine wakakimbia kisiwa. Mojawapo ni kesi ya Uhaini waliobambikiwa Maalim Seif pamoja na Hamad Rashid.

Gharib alijua baada ya Salmin kumaliza hatamu yake kijiti angeachiwa yeye, kumbe haikuwa hivyo akapewa Karume Jr akatawala miaka 10 yake ikaisha.

Alipomaliza Karume, Gharib akahisi atapewa yeye nchi, ila wazee wa Bara wakamuweka Shein halafu wakamleta Gharib Billal huku Bara ili awe makamu wa Rais ili amuache Shein atawale vizuri kule Zenji.

Na kama ujuavyo, Mzenji hata awe mbabe kiasi gani akija Bara anakuwa Mnyonge!

Ngoja niishie hapa!
Najua yoote hayo mkuu. Kama ulivyomalizia ndio walivyo. Kwenye uongozi huku bara kwa kweli hawa jamaa wamepwaya.
 
Du huu uzi kama ni biashara basi mleta mada kauza sana imetread sana na hii inatokana na sintofaham nyngi zinazotokea ndani ya nchi yetu. Na hili linanithibishia kauli ya rafiki yngu moja aliwakuniambia kuwa Intelligencia ya nchi ndo inaamua nani awe rais nani anapaswa kuendelea kuwa hai ndani ya nchi na nani aondoke. Achilia mbali mambo ya uwepo was Mungu
 
pemgine humjui vema Gharib Billal na upande wake wa pili wa shilingi.

Gharib Billal akiwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Salmin Amour " Komandoo " wote kwa pamoja walitawala kwa mabavu na mkono wa chuma. Waliwatesa Wapemba kwa kiwango cha hali ya juu sana mpaka wengine wakakimbia kisiwa. Mojawapo ni kesi ya Uhaini waliobambikiwa Maalim Seif pamoja na Hamad Rashid.

Gharib alijua baada ya Salmin kumaliza hatamu yake kijiti angeachiwa yeye, kumbe haikuwa hivyo akapewa Karume Jr akatawala miaka 10 yake ikaisha.

Alipomaliza Karume, Gharib akahisi atapewa yeye nchi, ila wazee wa Bara wakamuweka Shein halafu wakamleta Gharib Billal huku Bara ili awe makamu wa Rais ili amuache Shein atawale vizuri kule Zenji.

Na kama ujuavyo, Mzenji hata awe mbabe kiasi gani akija Bara anakuwa Mnyonge!

Ngoja niishie hapa!
Huyo Salmin Amour ameshaanza kulipia ubabe wake aliowafanyia Wapemba.

Amepoteza uwezo wa kuona yaani ni kipofu!

Mungu ni wetu sote!
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Dah kama sinema vile
 
He was himself Imran Kombe who ordered PM bodyguard to heard to Dar instead of accompany the Premier towards Monduli sasa umeshapata jibu kuwa DG alikuwa nani .
kwa hiyo wakat wanasafiri kutoka Dom bodyguard wa pm hakuwepo kwa hyo pm kwenye gari lake alikuwa yeye na nani?
 
He was himself Imran Kombe who ordered PM bodyguard to heard to Dar instead of accompany the Premier towards Monduli sasa umeshapata jibu kuwa DG alikuwa nani .
kwa hiyo wakat wanasafiri kutoka Dom bodyguard wa pm hakuwepo kwa hyo pm kwenye gari lake alikuwa yeye na nani?
 
Nje kidogo ya mada.

Hivi kwa nini hawa makamu wa rais toka zanzibar wanakuwaga maboya? Yaani hawana ile ladha ya uongozi. Kuanzia Abdul Wakili, marehemu Dr Omary Alli Juma, Dr Shein, Ghraibu Bilali mzèe wa mikasi na huyu mama samia Suluhu. Yaani sijui nieleze vp.

Uwezi kujua kama ni wapole, hotuba zao hazina ladha zimepoa yaani ccm wanatuletea watu wa ajabu kweli. Kama Bilali ndio alikuwa mzigo kabisa.

Kwenye topic ni kwamba target alikuwa Joseph kabila. Lakini kutokana na uboya wa Dr Omary alishindwa kungamua mwishowe akabadilishiwa sahani/glass na kunywa/kula sumu iliyotakiwa kumuua Kabila. Nashangaa system walishindwaje kumwepusha na huu mtego.
Mkuu ndomana Mungu akaweka siku maalum ya hukumu....episodes zetu wote zitaishia kule the point of no return Kwa Mungu Muumbaji.
 
sio kwamba mimi ni kilaza, nimeshindwa kuelewa sabasaba na tarehe saba mwezi wa nne vinaingilianaje? mweshimiwa alikufa tarehe saba mwezi wa nne , ila kinachojadiliwa huku ni maonyesho ya sabasaba na target alikuwa ni M7 siku ya tarehe nne mwezi wa saba. mwenye atueleweshe
Acha uongo broo. Dr alikufa mwezi Julai kunako 2001. Mchana wa siku ya mauti yake alikua ktk uzinduzi wa maonesho ya sabasaba. Msiturejeshe nyuma tafadhali
 
Back
Top Bottom