Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chai mkuu.Naskia kuna nyani alilia sana sikukadhaa pale butiama baada ya mwalimu kuzikwa
Kamanda wa mkoa wa DSM enzi hizo,mpogoro wa ifakara km sijakoseaMnamkumbuka Tryphon Maji?
Hilo issue wanaoijua vizuri ni walewale kizazi cha dhahabu a.k.a Golden boys na yule undercover agent wa CIA. Huyo mmasai jumba bovu lilimdondokea kwa kujifanya au kwa hasira za kujitia wana maamuzi magumu hilo suala lilikuwa la wote.Nje ya mada kidgo. Je mmasai kuutema uwaziri mkuu ikihusiana na scandal ya Richmond ile ni mipngo kutoka kwa mkwere au ilikuwa ni kweli jamaa kahusika kwenye ishu ya Richmond
KARMA hiyo?Huyo Salmin Amour ameshaanza kulipia ubabe wake aliowafanyia Wapemba.
Amepoteza uwezo wa kuona yaani ni kipofu!
Mungu ni wetu sote!
Meno yakeNatamani kwanini Teacher anaitwa Mchonga, sisi wa dot com tuko kizani
Naomba kujua hiliBasi sawa , itapendeza
Huyu Walingozi miaka ya nyuma niliwahi pita Namanyere pale mwanzoni mwa miaka ya 2000 kukawa kuna nyumba moja nzuri kuliko zote kwa kipindi hicho inajengwa nikaambiwa ni yake lakini hv kama mwezi umepita nimepita kule nimeona ile nyumba maskini haikumaliziwa vizuri yaani hovyo kabisa imepauka tu nadhani mauti yalimfika kabla.
Bahati mbaya sijawahi jua chochote kumhusu zaidi ya kuambiwa ni mtu wa sys hata kifo chake nikajua ni kawaida tu.
Ila niliambiwa alijenga nyumba nyingine kiijini kwao huko Kate ipo juu ya mlima hivi..
Watu wanajua mengi mkuu basi wanaamua kutulia hizi zinazoandikwa si nadharia za uchumi wa viwanda au kuwapandisha watu madaraja. Zimetokea na maisha yanaendelea you may take it free or live itWatanzania kinachotuangusha kwa kweli ni uthubutu tu. Maana tungekuwa na uthubutu wa kufanyia kazi ubunifu wa kutunga mambo, hata mapicha ya Hollywood yangetoka jasho.
Dah makubwaAisee...
Nimeamini jamiiforum kisima cha habari hii habari nilikuwanaitaka sana wapeni vijana wajuwe .sasa naombeni mtupe Uzi Wa BABU SEYA hivi ile kesi ilikuwa kweli au kuna mambo nyuma ya panzia swali na kama kesi ni kweli kwann raisi MAGUFURI awasamehe ndio tunarudi nyuma kwamba inshu ya BABU SEYA kuna kitu kimejificha
Stori za vijiweni vinahusisha na Silaha kwa waasi Congo Kinshasa,
Sijakupata Ndg! Tiririka tupate maarifa kizazi cha 90![emoji188]Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
kuku wewe tangu waanze kukujibu kiustaarabu ulielewa zaidi ya kuendelea kutuharibia uzi.?Kiazi wewe, hujaona wenzako waliojibu kistaarabu? Heshima yako iko wapi kwa lugha za matusi katika jukwaa? Ukikuwa mwili ukue na akili, sio kwasababu unajua kutumia simu uone ndio umekuwa.
Achana Na Takataka Hiyo Mkuu..Acha uongo broo. Dr alikufa mwezi Julai kunako 2001. Mchana wa siku ya mauti yake alikua ktk uzinduzi wa maonesho ya sabasaba. Msiturejeshe nyuma tafadhali
Na kuanzia hapo, Rais hawezi kutoka Zenji tenaSiasa za Bongo zilikuwa za kubadilisha kijiti kati ya Bara na visiwani baada ya Nkapa kumaliza wazenji walitakiwa wamtoe Rais ila baada ya mission accomplished in 1999 jamaa walihakikisha anyone seems as an obstacle must removed by any means so connect dots
Khaa!!!![emoji33][emoji33][emoji33]Ebwana eeeeeh unajua kama jamaa aliyekufukuzwa DSTV aka Mr Mwongo atapiga mzigo hapo Luanda na madam bilionaire lakini kulala halali kwa sababu anaogopa Boys 2 men hivyo hulala kwa akina Dali Mpofu?