Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Haha mmakua hakuwataka boys2men!! Alimpa dossier Kali kinana na Mangula wawashughulikie!! Kilichotokea ni historia!! Mzee akasalimu amri katikati ya pambano!!!
Naikumbuka hio scene. Mpaka mzee akasena basi wapeni wananchi chaguo lao, pale pale mkutanoni. Baada ya hapo mzee Mangula alishughulikiwa vilivyo na kuhamia Kinenulo Njombe shambani kwake, kwa kuwa ali endorse vibaya majina ya Boyz II men.
 

"Aliyedhaniwa" ni jambazi anaitwa Ernest Mushi Sambuo (WHITE)

Baba mmoja mama mmoja na Celestine!
 
Ni lini Kitine alijaribu kumpindua Mchonga?

Kaeni kimya uongo mwingine haufai
Habari za kitine nikudokeze....alitoa amri Mercedes benz brand new itolewe kwenye contena wakati meli iko njiani kuja Tanzania kisa? Teacher alitonywa kuhusu ufisadi wake kununua Merc brand new limited edition from daimler kwenyewe....ilikuwa kwa pesa za miaka hiyo ina cost a fortune!!!!!

Mtonyaji after few regimes akaja fukuzwa kazi DSTV
 
JK alivyomfanyia Malima
 
Kula 100 kisha nipe za Justice Baguma
...
 
Asante sana mkuu. mimi makazi yangu ni Namibia. wife na watoto wako huku, though kibarua ni Angola. pamoja sana mkuu
Ebwana eeeeeh unajua kama jamaa aliyekufukuzwa DSTV aka Mr Mwongo atapiga mzigo hapo Luanda na madam bilionaire lakini kulala halali kwa sababu anaogopa Boys 2 men hivyo hulala kwa akina Dali Mpofu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…