lodi loferpamoja na ujuaji wangu wote hadi Uzi unafika hapa sijamjua Mmakua ni nani ambaye boys2men walimtoa kwa kO
Mkuu kwahiyo unamaanisha, hapa kwetu hatuna I.T experts mpaka tukakodi nje? kama ni hivyo hivi vyuo vifungwe sasa, havina maana ya kuwepo .Bongo wapo ndio...
I.T experts aiseeee kweli hii mambo si mchezo.
Boys2 men...ni kina naniAnhaa kwa hiyo tuseme Mr clean aliamua kulipa kisas kwa kutokubal boys2men waongoze tena maana ambaye angefuata hapo ni lowassa na inaonkna Mr clean alikua na hasira na mkwere so itakua walivurugana kwenye kamat sasa mkuu hebu tufikirie jee boys2men hawana mpango wa kusimamisha mgombea mwingne 2025 au ndo sizonje kapewa kazi ya kulitokomeza hili kundi?
shelisheliAngalia vizuri mkuu ni umbali wa 1500km kutoka pwani ya Afrika mashariki.
Jibu sahihi,juu pale MTU alisema Uganda, hii gari ilileta zengwe sanashelisheli
Hii nayo kama hujui ww nenda kule celebrate ukashinde huko. Huko utawakuta wanajadiliwa kina domo na kiba na kina wema
Mwenye uwezo wa kuwaita watanzania wapumbavupamoja na ujuaji wangu wote hadi Uzi unafika hapa sijamjua Mmakua ni nani ambaye boys2men walimtoa kwa kO
Mi mtazamaji tuUkishajua mambo ya OIC huko Unguja ilivokwama Dodoma nahisi utapata pa kuanzia.
Mkuu Mtikila aliuawa na kundi la Elcadron De La Mort " A well trained secret soldiers of Slim thugh deployed in Great Lakes and even SA to attack anyone seemed as threat enemy of Mr Slim . Hayo ya mmasai sina uhakika
utaanzajemkulundaniya huumwakaalienda?wan6akuwaombahao17swamsaidie wabongohawajuikaziWell trained secret soldiers?
1. Wapo ndani ya jeshi letu?
2. Wanaishi TZ?
3. Sys ya TZ inashindwa vp kuweka utaratibu wa kuwaondoa?
Muache kichwa chake kimejaa matopeMantiki yako sijui nini haswa kuwa Amina Chifupa akuuawa na genge la drug dealers au ?
Kwamba Kolimba akuuawa ?
Kwamba Kighoma Malima akuuawa ?
Kwamba Sokoine died a natural death?
Kwamba Imran assassination was not planted?
Vipi kuhusu Mgimwa ?
Ngojea nikuache uenda nabishana Na chemistry with physics.
Mm toka jana nimeachana na huu uzi, yanayoelezwa yapo coded sana hadi huwez jua nani anazungumziwa..ππ
BTW Ushaungwa jukwaa la dini..?
1. Oohh, unamaanisha alienda kuwaleta hao secret agents?utaanzajemkulundaniya huumwakaalienda?wan6akuwaombahao17swamsaidie wabongohawajuikazi
Haaa,haaa we mkuu nimekuheshimu sana kumbe tunabonga na wenye nchi??? Nashukuru sana bhana nimeshaungwa,, ubarikiweMm toka jana nimeachana na huu uzi, yanayoelezwa yapo coded sana hadi huwez jua nani anazungumziwa..ππ
BTW Ushaungwa jukwaa la dini..?
kweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??Ukiwa humu kwenye GT unatakiwa usikate tamaa mapema na ujitahidi kudicode hizo code ili uelewe kinachozungumzwa