Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mkuu salute kwako, funguka zaidi maana madini yako siyo ya kawaida.
 
Project vanguard disaccepted but mamvi dismantled to new I.d to authenticate mkwere but skill mavi holds a lot of people in diesitivi but I think chattle boy should be humble coz is like kinyago there and they are just fooling him all things goes as planned
 
Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat ndio maana kila kitu kinafungwa lakini hili dude liko live 24/7. Kwa lingo yetu yeye anakuwa agent provacateur for obvious reasons. Kitu kingine nataka nikuhakikishie, Mukhabarat hawana tatizo na hili dude, as a matter of fact wana bots zao just incase likienda chini kwa sababu this is part of their play na pia ni nzuri kwa open intelligence. Jiulize iweke mitusi yoote hii mnayovurumisha humu 24 hili dude halijafungwa?

Suala lingine, kutokana na unyeti wa kazi zenyewe wao kushughulika na hili dude is beneath them kwa sababu kinachotishia usalama wa nchi humu. Hata C wote walipokuwa wanapigwa presha kuhusu hili dude wao walisema they have a bigger fish to fry.

HIvuo endeleeni kukamua tuu
 


Chief,

Hao wote uliowataka ni irrelevant

Watu washaanza kujipanga for the next 50 years. Kuna new players na hao woote mnaowaona jamaa washasema hawana influence yoyote ile hivyo kwa sasa tazama hao vijana in their mid 20s

Hao wengine its its just a matter of time wa check out au tuseme wamekuwa reduced to irrelevancy
 


Mukhabarat have bigger fish to fry. Hawana muda wa ku deal na wachangiaji au mada za humu. Afterall hili dude ni la kwao, ndio maana halihitaji matangazo kujiendeza

Siku wakihitaji watu waingie kazini kufanya info warfare dhidi ya external enemies then utashangaa watu watakavyoingia kuchangia habari zote mpapa DNA ya slim thug

like I said, everything has a purpose
 

Unamaanisha December, savimbi, bao la mkono, Kijana wa nzega na wote wa rika lao kuwa hawana anything to offer hata wawatafute mid 20 guys.?
 
Mkuu Complex, maswali yako ni ya msingi sana hasa kwa mkatadha wa huu uzi, nataka sana kujua kuhusu, Joka la mdimu, ujio wa Prophet, na ugonjwa wa member wa boys2men

Prophet is irrelevant na ujuo wake hauna maana kwa sasa.

Focus on huko mbele na new players
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…