Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mwalimus personal bodyguard baada ya 1999( death) alipanda kuwa Capt. Akapewa special task force kupambana na wasomali waliovamia ngorongoro na kumuua ocd kongoa.
There after akaenda mafunzo. Kurudi el kawa pm. Akakabidhiwa.baada ya 2015 amestaafu.
Mwenziye Julie yupo kwa jpm
Mkuu salute kwako, funguka zaidi maana madini yako siyo ya kawaida.
 
Project vanguard disaccepted but mamvi dismantled to new I.d to authenticate mkwere but skill mavi holds a lot of people in diesitivi but I think chattle boy should be humble coz is like kinyago there and they are just fooling him all things goes as planned
 
Kuna watu wanajisahau na kutoa mawasiliano yao Humu ndio maana unaona Code language wengine wanafahamika Kabisa, its bad Mtu unapaswa kutojulikana hata kwa kufungua ID mpya ambayo usiruhusu kutoa mawasiliano wala mtu yoyote kujua Identity yako.
Lakini hili pia hali assure security yako, Hujawah kujiuliza Melo alivyo potential anaweza kuwa Nje na DSTV?
Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat ndio maana kila kitu kinafungwa lakini hili dude liko live 24/7. Kwa lingo yetu yeye anakuwa agent provacateur for obvious reasons. Kitu kingine nataka nikuhakikishie, Mukhabarat hawana tatizo na hili dude, as a matter of fact wana bots zao just incase likienda chini kwa sababu this is part of their play na pia ni nzuri kwa open intelligence. Jiulize iweke mitusi yoote hii mnayovurumisha humu 24 hili dude halijafungwa?

Suala lingine, kutokana na unyeti wa kazi zenyewe wao kushughulika na hili dude is beneath them kwa sababu kinachotishia usalama wa nchi humu. Hata C wote walipokuwa wanapigwa presha kuhusu hili dude wao walisema they have a bigger fish to fry.

HIvuo endeleeni kukamua tuu
 
Msaada tutani

1. Imekuwaje hata kindovu anatamba katika enzi zote.?

2. Je ni kweli Joka la mdimu yupo silenced mazima baada ya ile move ya kuitisha press conference kufeli.

3. Laingwanani siku ya kutangazwa matokeo, kile kitendo cha kutaka kwenda tume akazuiliwa juu kwaju ni kweli alikuwa akimaanisha au alikuwa anacheza karata.

4. Uhalali wa kijana wa mwandiga kujiita mpinzani huku siku za karibuni viongozi wake waandamizi wakirudi chama dola kwa kasi. Na kuukwaa nyadhifa za juu ambazo zinatia shaka kudhani kama kweli walikuwa wapinzani.

5. Mzee wa karatu ni kweli kaasi chama dola.? Haiingii akilini kasave miaka 10 ya Mr clean then ghafla kahamia kwa hasimu wake huku upande wake wa Mr Clean ukiwa umeshika dola. Nini kimetokea hapo kati.?

6. Mkuu wa DSTV enzi za Mr clean, kuwa masterminder wa harakati za ulipo tupo, halafu baada ya matokeo juzi kati tumeona kachaguliwa katika bodi ya washauri wa JPM wakiongozwa na Mzee Kitine. Hii imekaaje.??

7. Baada ya matokeo nani alimuita mchungaji wa Nigeria.? Na kwa lengo gani.?

8. Je Ugonjwa wa Laingwanan ni kazi ya kitengo kumnyamazisha au ni magonjwa ya kimaumbile tuu..?


Chief,

Hao wote uliowataka ni irrelevant

Watu washaanza kujipanga for the next 50 years. Kuna new players na hao woote mnaowaona jamaa washasema hawana influence yoyote ile hivyo kwa sasa tazama hao vijana in their mid 20s

Hao wengine its its just a matter of time wa check out au tuseme wamekuwa reduced to irrelevancy
 
Ukiwa humu unatakiwa kuwa makini sana kuanzia uchangiaji hadi utoaji wa mada.... Mfano hii mada inayoendelea sasa nadhani kwasasa wanahangaika kujua wachangiaji wake ni akina nani hasa ndani yake... Maana yanasemwa mengi yaliyofichika tena katika mpangilio... NA WANAANGALIA MWISHO WAKE WA HII MADA NI NINI.... maana watu watanogewa hadi watajikuta wanaingia 2015-2020


Mukhabarat have bigger fish to fry. Hawana muda wa ku deal na wachangiaji au mada za humu. Afterall hili dude ni la kwao, ndio maana halihitaji matangazo kujiendeza

Siku wakihitaji watu waingie kazini kufanya info warfare dhidi ya external enemies then utashangaa watu watakavyoingia kuchangia habari zote mpapa DNA ya slim thug

like I said, everything has a purpose
 
8ceeb89dd9a0b28aa649382292d12102.jpg

Ahmed Hassan Diria - Wikipedia
[emoji115] [emoji115] [emoji115] Msome umjue


ungemwambia aende GOOGLE

nishachoka na hii generationa ya INSTAGRAM
 
Chief,

Hao wote uliowataka ni irrelevant

Watu washaanza kujipanga for the next 50 years. Kuna new players na hao woote mnaowaona jamaa washasema hawana influence yoyote ile hivyo kwa sasa tazama hao vijana in their mid 20s

Hao wengine its its just a matter of time wa check out au tuseme wamekuwa reduced to irrelevancy

Unamaanisha December, savimbi, bao la mkono, Kijana wa nzega na wote wa rika lao kuwa hawana anything to offer hata wawatafute mid 20 guys.?
 
Back
Top Bottom