Unamaanisha December, savimbi, bao la mkono, Kijana wa nzega na wote wa rika lao kuwa hawana anything to offer hata wawatafute mid 20 guys.?
wao washaweka vijana wao
kuna walio in their mid 20s
kuna walio in their early 30s
Kuna walio in their 40s
most interesting thing tazama wanafanya nini bear in mind majority ya hao "new turks" wako serikalini na private sector na hawajawa exposed kwenye party machinery for obvious reasons...na dyanamic zimebadilika sana kwa sababu sasa hivi teuzi zinafanywa randomly utaskia mtu naakuwa parachuted from no where.
Namsubiri Billy aje atakuwa kanielewa
Shikamoo boys 2 men aiseee
Walikua na uwezo wakuifanya Tanzania ikapiga bao sana ila ndo hvyo tena
Problem iliopo ni kuwa zama zimebadilikaNimekuelewa katika hili. Kama ni hivi sioni namna hawa watu wataachia usukani.
Dr alikuwa muislam,je waislam ndg zake walipata wasaa kuona maiti na kuitambua?Tena Security clearance ya level 5.watu wanakoment na fake IDs lakini bado wanaogopa.
BOYZ II MEN sasa hivi wako kwenye obscrurity
Kuna makundi mengine mawili na wako so silent utadhani hawana wanachokifanya lakini wapo
1. AI
2. Clones
itabidi kufungua uzi mpyaa na kwa faida zaidi itabidi iwe jukwaa la siasa na sio huku
We kila MTU unamuonea generation ya Instagram sio?ungemwambia aende GOOGLE
nishachoka na hii generationa ya INSTAGRAM
Problem iliopo ni kuwa zama zimebadilika
Old methods are not working
Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat ndio maana kila kitu kinafungwa lakini hili dude liko live 24/7. Kwa lingo yetu yeye anakuwa agent provacateur for obvious reasons. Kitu kingine nataka nikuhakikishie, Mukhabarat hawana tatizo na hili dude, as a matter of fact wana bots zao just incase likienda chini kwa sababu this is part of their play na pia ni nzuri kwa open intelligence. Jiulize iweke mitusi yoote hii mnayovurumisha humu 24 hili dude halijafungwa?
Suala lingine, kutokana na unyeti wa kazi zenyewe wao kushughulika na hili dude is beneath them kwa sababu kinachotishia usalama wa nchi humu. Hata C wote walipokuwa wanapigwa presha kuhusu hili dude wao walisema they have a bigger fish to fry.
HIvuo endeleeni kukamua tuu
That makes the two of usProject vanguard disaccepted but mamvi dismantled to new I.d to authenticate mkwere but skill mavi holds a lot of people in diesitivi but I think chattle boy should be humble coz is like kinyago there and they are just fooling him all things goes as planned
Dstv wamepunguza Bei kuwezesha watumiaji wengi.Mkuu salute kwako, funguka zaidi maana madini yako siyo ya kawaida.
Nimemwelewa pia, if that's true, hawawezi achia. Na upinzani wetu legelege, ni ngumu zaidi.Nimekuelewa katika hili. Kama ni hivi sioni namna hawa watu wataachia usukani.
Lini utafungua mkuuBOYZ II MEN sasa hivi wako kwenye obscrurity
Kuna makundi mengine mawili na wako so silent utadhani hawana wanachokifanya lakini wapo
1. AI
2. Clones
itabidi kufungua uzi mpyaa na kwa faida zaidi itabidi iwe jukwaa la siasa na sio huku
I can't say Mo aiseeNimekuelewa katika hili. Kama ni hivi sioni namna hawa watu wataachia usukani.
R u saying boys 2 men hawakufikiria this far?Problem iliopo ni kuwa zama zimebadilika
Old methods are not working
People fears wht they don't understandYaaah na haijui project vanguard leave him na maigizo yake ya bandarin if he wants to clean totally this country he must start everything afresh capturing everyone aah I don't know why he fears !!!!