Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Unamaanisha December, savimbi, bao la mkono, Kijana wa nzega na wote wa rika lao kuwa hawana anything to offer hata wawatafute mid 20 guys.?

wao washaweka vijana wao

kuna walio in their mid 20s

kuna walio in their early 30s

Kuna walio in their 40s

most interesting thing tazama wanafanya nini bear in mind majority ya hao "new turks" wako serikalini na private sector na hawajawa exposed kwenye party machinery for obvious reasons...na dyanamic zimebadilika sana kwa sababu sasa hivi teuzi zinafanywa randomly utaskia mtu naakuwa parachuted from no where.

Namsubiri Billy aje atakuwa kanielewa
 

Nimekuelewa katika hili. Kama ni hivi sioni namna hawa watu wataachia usukani.
 
Shikamoo boys 2 men aiseee
Walikua na uwezo wakuifanya Tanzania ikapiga bao sana ila ndo hvyo tena

BOYZ II MEN sasa hivi wako kwenye obscrurity

Kuna makundi mengine mawili na wako so silent utadhani hawana wanachokifanya lakini wapo

1. AI

2. Clones


itabidi kufungua uzi mpyaa na kwa faida zaidi itabidi iwe jukwaa la siasa na sio huku
 
BOYZ II MEN sasa hivi wako kwenye obscrurity

Kuna makundi mengine mawili na wako so silent utadhani hawana wanachokifanya lakini wapo

1. AI

2. Clones


itabidi kufungua uzi mpyaa na kwa faida zaidi itabidi iwe jukwaa la siasa na sio huku

Bila shaka hawa AI ni wale walio katika mzizi mkuu na hawa CLONES ni wale wanafuata mrengo wa siasa za Yule wa Iringa aliyekufa kwa ajali ya chopa iliyodondoka selous kipindi cha uchaguzi.
 

Sasa kuna haja gani ya kuendelea na kesi ya kujua id za walio nyuma ya vibonyezwa ?

Kwa kinacho endelea tu kwa bwenga, wb wengi wanacheza kwa step bila ya kumkanyaga mwengine!

Embu sema vizuri mkuu, unatoa assurance ili big potatoz waliokimbia warudi upya, pengine mukhabarat wana funguo za dude?
Kidding
 
That makes the two of us
I real have this feeling that still boys 2 men have a plan ambayo chayo boy haijui
 
Yaaah na haijui project vanguard leave him na maigizo yake ya bandarin if he wants to clean totally this country he must start everything afresh capturing everyone aah I don't know why he fears !!!!
 
BOYZ II MEN sasa hivi wako kwenye obscrurity

Kuna makundi mengine mawili na wako so silent utadhani hawana wanachokifanya lakini wapo

1. AI

2. Clones


itabidi kufungua uzi mpyaa na kwa faida zaidi itabidi iwe jukwaa la siasa na sio huku
Lini utafungua mkuu
We need this
Wengine hatuwez kwenda kushinda kule majukwaa ya celebrity au mapenz
We need these stufs mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…