Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hivi ni kwann aliyekua "Clan de staff" kisha kupelekwa Opium war amezinguana na Chattlenian? unafaham scandal ya landrover 400 kuagizwa kupitia "clan"? ..

-Sponsor alimtwangia simu akamtengua kimya kimya akamuuliza unasepa lini umekula umeshiba..

BTW zawadi aluyopewa na vijana Wa Anjouan ndio GOmz na MB 3 colours!
 
Ni mmoja ya watu waliomtibua chattlenian mapema baada ya de staff kuagiza 400 landrovers (licha ya kua ameepumzishwa kwa macho madogo) kwa kutumia jina la de "clan" ili ndinga hizo zisilipe kodi..

Pogba akqmpandia hewani akamzingua unasepa lini? umevimbiwa sana kwa zaidi ya 30 yrs..kisha akamzingua bila kutangazwa ili kulinda heshima yke..Inshort pogba amemstahi!

BTW vijana Wa Anjouan walim mind de staff kuchakachua mpunga wao Wa asante! wakaanza kumchokonoa..

Taarifa zilipowafikia hawa Wa nyumbani nao wakabaini de staff anawalima Tsh.150 kwenye mshahara wao..

wakampatia "zawadi ya Xmas na mwaka mpya" Gomz na MB 3 colours! booom! kuonyesha hawamtaki!
 
Alipigwa nyumbani kwake moshi mbele ya mkewe, na polisi
Hapana. Sio nyumbani. Njiani Dar- Moshi Rd akitokea Dar.
Vijana wa Omar former Ingia Gerezani Pekee wakamsimamisha eti ile vehicle ilikuwa inatafutwa. Alikuwa na ubavu wake. Mzee akahisi ni wezi akakimbilia shamba la mahindi. Mara pyuu pyuuu!
 
Shkamooo mkuu,kama ulikuwepo yaani umegusa mulemule kidonda kinapo toa damu.
 

open intel
 
Mkuu hapa kuna joka la makengeza a.k. a kafara ng'ombe mia huu huzi ni kama ulimwacha pembeni cjajua unyeti wake tangu mzee wa ruhusu mpk clean plus khalufn, yeye yupo tu, pamoja na mzee 7 yule wa tezi dume, na mzee "Yupo" lile nyani la pale karibu na mzee mchongo, huu uzi naona km umewaacha pemben wkt uwa naona km wana legacy fulan kwenye chama au cctim kwa ujumla....
 
dah, ila aliyestaafu siasa uchwara aliona mbali haswa. Maana yeye aliicheza karata yake toka 2014. Huku akimuacha mwenziwe wa bariadi akikomaa na dude.

By the way aliitafuna sana nchi. Kuna habari moja niliisikia sikuamini. Ilikuwa ikimuhusisha Persian guy na opium iliyokuwa busted maeneo ya Pangani kwamba ilikuwa yake. Nkashangaa kwa nini haikuingia ktk media wakati opium ilitapakaa pwani kama mifuko ya sukari.
 

Mzee kumbe na wewe ulipitia umenyeni.? It was a nice place to be aisee.
 
Hapana. Sio nyumbani. Njiani Dar- Moshi Rd akitokea Dar.
Vijana wa Omar former Ingia Gerezani Pekee wakamsimamisha eti ile vehicle ilikuwa inatafutwa. Alikuwa na ubavu wake. Mzee akahisi ni wezi akakimbilia shamba la mahindi. Mara pyuu pyuuu!
Naaam, naskia jamaa kauliwa mkewe akishuhudia

Inauma
 
That's y chattlenian anaemploy more to mguu pande mguu sawa.
Green vest wameajiriwa wengi with 2 yrs contract. Ndio wasimamizi uchaguzi 2020.
Wazee wa chalk hawana jipya tena.
Hahaaa! Codes from Bottom to Top..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…