Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Ushawahi kujiuliza ni kwa nini Pogba anajaribu kujaza wazee ngome katika awamu yake?

Ukuu wa mikoa kawajaza, wizarani kawasogeza kama makatibu wakuu, ukuu wa wilaya kawapa mashavu.

Tafakari....
Kumpiga mweleka hapa kwenye double 20 ni ngumu, lazima wavute pumzi hadi semister ya pili.

Sasa semister ya pili ikiisha lazima atakuwa anaanda kuweka asset yake..! Hapo ndio B2M wanaji-stretch na kufanya kile wanakipanga for 10 yrs..

The same tricks as 2005! And this is likely to happen..! A good politician will plan an Exit..! Sasa Bulldozer haliko vizuri katika hilo , otherwise mmakua am-Back up katika plans zake.
 
Mkuu umeweka kumbu kumbu sawa!
 
Bro, You are now being seditious. Is there any proof to the allegation? For heaven's sake do not bite what you cannot chew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…