bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
- Thread starter
- #1,241
Sawa mkuu hii ndio busara kubwa kuliko zote kulikuwa na mzee moja alieamini kuwa safu zote za nchi anapanga yeye though hakuwa kwenye kigoda ila kwa kushirikiana na passion walifanikiwa ata pale aliporudisha chenjii pale anatoglou alijua tayari .Nikiri nimekosea imejichanganya kimakosa
Naombeni radhi Ndugu zangu wote
Samahani
Ila kuna kitu mpaka kesho sitokuja kuiamini yaani mzee mstaafu yule wa dstv eti ndiye alikuwa mpanga mkakati ! Pale ndo nilisema hapana anyway tuangalie ligi za mass mengine yapo ndani sana.