Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hii post ni ya 55 kwenye uzi huu nadhani mnaweza connect dot.
 
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia hapa nakwambia ila ngoja chakula kiive tujuwe kunaliwa nini japo naskia harufu ya [emoji102]
 
Du umenchekesha sana
 


Hata walioipindua serikali ya Waziri Mkuu Muhammed Shamte iliyochaguliwa na wananchi kule Zanzibar walitokea Sakura , Tanga.

Free Downloading ya Kitabu
 

Spasiba zemlyak
 

Wanae anaitwa "Mwezi Wa Kwanza"
 
Kweli mkuu mimi nilikuwa najua siku hizi ukiingia JF unakutana na mataahira mengi lakini kumbe bado kuna vichwa vyenye madini ya kutosha.
Mkuu ukitaka kufaidi humu, angali na uzi wenyewe? ma GT wa JF huwa hawacomment kwenye nyuzi zisizohusisha ubongo ( nyuzi zenye kuleta kufikiri, kuwezesha kuconnect dots etc.
 
Mkuu kwahiyo unamaanisha, hapa kwetu hatuna I.T experts mpaka tukakodi nje? kama ni hivyo hivi vyuo vifungwe sasa, havina maana ya kuwepo .
Hapa kwetu I.T yake mkuu ni LLocal sana Believe me, I.T inayotakiwa ni level ya akina Modestus KP ( boss wa kitengo pendwa cha sasa) Yule jamaa ndio IT guru, Kama kuna ndugu waliosoma Manchester University humu watakuwa mashahidi, jamaa ameacha Legacy pale.
Ulimwengu wa sasa ni ulimwengu wa Habari hasa kwenye category ya Analzying (Kuchakata habari) Hapo unazungumzia Data Collection, Data storage, Data security and Data analyzation of Which DGwa kitengo pendwa MK amekwiva hapo.
Achana na I.T ya UDSM,Mzumbe, DIT wengi hawana creativity believe me.
 
Hapo nimekuelewa mkuu, lakini ni kweli hao wageni wapo kazini hapa nyumbani?
 
radiator ikichemsha lazima nipitie humu kuunganisha water cable kidogo
baba mwenye nyumba anawapekua haidi maua aliopndayey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…