Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hizi code nyoko aise
 
rais gani alitiwa risasi? hapo namba 1?
 
2021 - Tukapoteza rais kwa covid 😱
 
Interesting. Ila you do not make an attempt kwa mgeni wako ambaye pia ni rais wa nchi nyingine, hii haimezeki. Common sense tu, waganda wasingetusamehe kamwe, hata kama jaribio hilo halikutimia.
 
Sio kwamba alimunderestimate, wanajisahau wakizani zile power walizokuwa nazo bado zipo, hili kosa pia mkwere alilifanya kwa sizonje ila alipobipiwa faster akarudi kwenye mstali, sasa imebaki anatoa mipasho tu.
Nani mshindi wa hiyo mechi? Jogoo la shamba au jogoo la mjini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…