Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

1996 ilikuwaje?
 
Daylight shutting of mp TL, around govt buildings in the morning,at the capital city of tanganyika [emoji1241][emoji24][emoji24][emoji24] MUNGU akawa upande wa Lisu,[emoji24][emoji24][emoji24]
 
KARUME NI TAREHE 7 APRIL, 1972 NA DK OMARY ALLY JUMA NI 4 JULY, 2001, SOKOINE TAREHE 12 APRIL, 1984 HII NDIYO TAARIFA SAHIHI
UKO SAHIHI KABISA ,

MIMI HIO SIKU NAIKUMBUKA VIZURI SANA , NILIKUWA NIKO DARASA LA SABA , siku ya Ijumaa , Redio ikasitisha matangazo yake jioni , ikaanza kututangazia tusitoke na huku ikiimba kwaya za kijeshi , Redio Zanzibar. Tulikuwa tukisikiliza BBC na Redio ya Ethiopia ya Kiswahili . BBC ilisema karume hajulikani ilipo.

Siku ya Jumatatu saa saba mchana , Redio ya Sauti ya Tanzania Zanzibar ikajiunga na na RTD na kutangaza kifo kwenye habari.

Yaani iliyotangaza kifo ni RTD

Sielewi walifanya vile kwa nini
 
Duuuh wakongwe
 
Zanzibar hakukuwa na mtu jasiri kuweza kutangaza
 
Mwaka 1972 Rais wa Zbar kwa risasi
 
RIP ba mkwe
 
2032 nchi itampoteza nani mkubwa?
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…