Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Katika nyuzi bora ni huu aisee yaani sichoki na nipo siti ya mbele kabisa natafuna madini adimu kabisa hapa,hongereni wanhangiaji,wengine sisi ni makinda tuna meza tu nyi wakongwe tafuneni tu
Kikubwa zaidi tuendelee kumshukuru ikibidi kumchangia gharama za uendeshaji boss Maxence Melo ili Jf iendelee kutuhabarisha mengi ambayo hatuyajui .

Jf inatusaidia kupata habari za huko nyumbani utafikiri tupo Segerea sheli Oilcom wakati tupo huku. Long Live Jf.
 
Kikubwa zaidi tuendelee kumshukuru ikibidi kumchangia gharama za uendeshaji boss Maxence Melo ili Jf iendelee kutuhabarisha mengi ambayo hatuyajui .

Jf inatusaidia kupata habari za huko nyumbani utafikiri tupo Segerea sheli Oilcom wakati tupo huku. Long Live Jf.
Segerea sheli ya oilcom, njia panda ya kwenda majumba sita kwa mzungu.
 
Mantiki ni kuchanganya watu ambao vifo vyao vina utata na watu wanaojulikana vyanzo vya vifo!hata kwenye maisha ya kawaida unaweza kumwambia mtu utaona akafa kwa issue nyingine jamii isikuelewe;Amina hakuna aliyemuua na watu wake wa karibu wanalijua hilo!Mpakanjia naye aliuawa?Mtu kama JB Delmonte nadhan kuna hadi uzi wake humu watu wanaomjua jinsi alivyokua anawaambukiza dada zetu alafu anakufa unasema ameuawa!Komba alimuuua nani na kwa malengo gani?uzushi
....What you see as 9 others see as 6....kwamba kwa kuwa tu eti wewe huamini hakufanyi wengine wasiamini...
 
78bdf2cea26757e031cecc4bebd353ed.jpg
 
Facts.

1. Mtoto wa familia ya Mkapa aliniambia, muangalieni Dr. Omari Ali Juma, atakuja kuwa rais. Hilo ndilo lilikuwa chaguo la Mkapa. Habari hii ni kutoka dinner table conversation Sea View kwa Mkapa.

Dr. Ali Omari Juma "Chinjachinja" angepata kuwa rais, ingekuwa sawa na utawala wa Mkapa uende kuisha halafu aje kupokelewana Magufuli.

2. Kuna watu waliona wamenyang'anywa urais,na hivyoMkapa akimaliza, ni lazima wapate walichonyang'anywa.

3. Wakaona kuwa baada ya Mkapa, upepo unaelekea kwa Dr. Omari Ali Jumana wakizubaa, watanyang'anywa kwa mara ya pili nafasi ya urais.

4. Dr.Omari Ali Juma aliondolewa makusudi kwa kuchanganyiwa vidonge vya kuongeza nguvu na kinywaji kilicho react vibaya navyo. Vidonge hivi vinahusika katika shughuli pevu. Vilitumika kitaalamu sana kiasi kamakungefanyikauchunguzi wowote, kitu ambacho kingeonekana kumuondoa kingekuwa mashtuko wa moyo

5. Zaidi ya hapo, story kuhusu nani alihusika inahitaji security clearance.
 
Back
Top Bottom