THNKER-hardson
Senior Member
- Dec 26, 2016
- 150
- 80
Acha kama ilivyoonimeshindwa kuivunja vunja hiyo coded language ya boyz 2 men hebu iweke kwa nmna nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kama ilivyoonimeshindwa kuivunja vunja hiyo coded language ya boyz 2 men hebu iweke kwa nmna nyingine
Kikubwa zaidi tuendelee kumshukuru ikibidi kumchangia gharama za uendeshaji boss Maxence Melo ili Jf iendelee kutuhabarisha mengi ambayo hatuyajui .Katika nyuzi bora ni huu aisee yaani sichoki na nipo siti ya mbele kabisa natafuna madini adimu kabisa hapa,hongereni wanhangiaji,wengine sisi ni makinda tuna meza tu nyi wakongwe tafuneni tu
Segerea sheli ya oilcom, njia panda ya kwenda majumba sita kwa mzungu.Kikubwa zaidi tuendelee kumshukuru ikibidi kumchangia gharama za uendeshaji boss Maxence Melo ili Jf iendelee kutuhabarisha mengi ambayo hatuyajui .
Jf inatusaidia kupata habari za huko nyumbani utafikiri tupo Segerea sheli Oilcom wakati tupo huku. Long Live Jf.
....What you see as 9 others see as 6....kwamba kwa kuwa tu eti wewe huamini hakufanyi wengine wasiamini...Mantiki ni kuchanganya watu ambao vifo vyao vina utata na watu wanaojulikana vyanzo vya vifo!hata kwenye maisha ya kawaida unaweza kumwambia mtu utaona akafa kwa issue nyingine jamii isikuelewe;Amina hakuna aliyemuua na watu wake wa karibu wanalijua hilo!Mpakanjia naye aliuawa?Mtu kama JB Delmonte nadhan kuna hadi uzi wake humu watu wanaomjua jinsi alivyokua anawaambukiza dada zetu alafu anakufa unasema ameuawa!Komba alimuuua nani na kwa malengo gani?uzushi
Ndiyo mkuu, why not?Tuendeleee???
nasema mwaga vitu nipo siti ya mbele kwa derevaTuendeleee???
JK anahusika vipi kifo cha Kighoma Malima?Consipiracy theories
I really miss the place . One day I will be back if God wishes.
Karma haimbakizi mtu!Horace Kolimba anajua kila kitu maana alikuwa ndio mkuu wa msafara mchana ule Mmasai anapata ajali pale Dumila.
Bahati mbaya Kolimba amekufa na siri yake moyoni pale Kizota.
Bila kusahau walivyomtenda Salim Ahmed Salim kule Tehran, IranSio alionekana bali ndiye mtu aliyekuwa akisubiriwa!! Dhambi za Boys2men kuelekea 2005 hazipimiki!!
Ni yule mfipa wa Kate au ni yupi....Vipi kuhusu Evod Walingozi,kifo chake kilikua chakupangwa au?
Kumbukeni kutoa takwimu zisizosahihi ni kosa la jina
Mkuu ukiendelea hebu uanzie pale uliposema maiti ilipasuka uwanja wa taifa maana ulisema kidogo tu halafu ukapotea, hili limekuwa geni kwelikweliTuendeleee???