Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Jenerali kombe alikuwa ni mwanajeshi na kiongozi jushaa [hodari] wa nchi yetu na hasa alijulikana pale nchi yetu ilipoingia katika mapambano ya kurudisha ardhi yetu iliyochukuliwa na dikteta IDD AMIN DADA, kwani yeye ni moja wa makanda waliopambana mstari wa mbele katika vita ya kagera.

Unaweza kujiuliza kuhusu hiyo nick name aliyokuwa anafahamika nayo katika medani za kivita, alipewa hilo jina katika vita ya kagera kutokana na yeye kukusanya vikosi vyake na kuingia Uganda kwa kuvuka mto mkorofi ambao huu mto pia unajulikana kwa jina la mto mkorofi wa ngono[sababu kuu ya huu mto kuitwa hivi ni kuwa inaaminika mtu wa kwanza kuwa na virusi vya ukimwi duniani aliishi kando ya huu mto na inajulikana ulimwenguni kote kuwa njia kuu ya kuambukizwa ukimwi ni kufanya ngono]. Baada ya kuisha kwa ile vita jenerali kombe alipandishwa cheo na kuwa mnadhimu mkuu wa jeshi [CHIEF OF STAFF] ambacho alikitumikia kwa muda Fulani, na ilipofika kipindi cha utawala wa DR. ALI HASSAN MWINYI jenerali kombe aliteuliwa na kuwa mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa.

Katikati ya mwezi wa june mwaka 1996 jenerali kombe alivuliwa wadhifa aliokuwa nINAENDELEAenzi wa usalama wa taifa] na hii ilikuwa ni kipindi cha mwanzo kabisa cha utawala wa mheshimiwa BENJAMNI WILLIAM MKAPA kwani huyu raisi aliingia madarakani mwaka 1995. Kwahiyo baada ya kuvuliwa wadhifa wake akabaki kuwa mstaafu lakini kwa mujibu wa sheria alikuwa anapewa ulinzi na mahitaji mengine kama wastaafu wengine wa nyadhifa za juu serikalini na jeshini.

MAUAJI YA JENERALI KOMBE
Mwaka 1996 gari aina ya NISSAN PATROL iliibiwa jijini DAR ES SALAAM na mwizi maarufu wa magari wa kipindi hicho aliyekuwa akijulikana sana kwa jina moja la WHITE [nimekosa jina lake halisi kwani hakuna chanzo kilichotaja au kujua jina lake halisi], gari hilo lilikuwa limesajiliwa na namba za usajili [TZD 8592] na lilikuwa mali ya mfanyabiashara W. LADWA.

Baada ya jeshi la polisi kupata taarifa za uwizi huo walianza kufanya uchunguzi kujua na kubaini ni yuleyule mwizi sugu wa magari maarufu kwa jina la WHITE. ndipo hapo mkuu wa jeshi la polisi kanda maalumu ya DAR ES SALAAM aliamuru askari wawili kwa majina ya koplo JUMA MSWA na konstebo MATABA MATIKU wakiwa na silaha aina ya PISTOL CHINESE-TYPE kwenda katika mkoani KILIMANJARO, MOSHI.

Kamanda wa DAR ES SALAAM aliamuru hivyo waende moshi kwasababu walipata taarifa kuwa jambazi WHITE yuko kati ya ARUSHA na MOSHI, wale askari wawili walivyofika moshi walipokelewa na kamanda wa Kilimanjaro huku nyuma tayari kamanda wa DAR alikuwa ameshawasiliana na kamanda wa KILIMANJARO kuwa kuna vijana wangu nimewatuma kazi huko ya kutafuta gari lilioibiwa DAR.

Kamanda wa moshi alitoa askari wake watatu na kuungana na wale wawili wa kutoka DAR, hawa askari watatu wa MOSHI walikuwa na bunduki aina ya MACHINE GUN na wakaanza msako mara moja wa kutafuta wapi gari lilipo pamoja na jambazi WHITE na ikumbukwe kipindi hicho gari aina ya NISSAN PATROL ilikuwa ni gari ya kifahari sana na zilikuwa chache sana.

Mnamo tarehe 30 juni 1996 wale askari watano wakiwa katika gari yao ya polisi katika randa randa zao za kutafuta gari iliyoibiwa, gafla waliona gari aina ya Nissan patrol amabayo ilikuwa ikifanana na ile iliyoibiwa DAR hapohapo wakaanza kuifukuzia kwa nyuma huku wakiipiga risasi, takribani risasi kumi na nne zilipigwa kwenye ile Nissan waliokuwa wanaifukuzia wale askari.

Katika zile risasi zilizopigwa kuna risasi zililenga tairi na hivyo kupelekea gari la jenerali kombe kuanza kuserereka na mwishoe likaegemea mahali na kusimama, kwa bahati mbaya sana siku hiyo jenerali kombe hakutembea na walinzi wala dereva wake, yani alikuwa yeye na mke wake ROSSELEEN tu. Na ndo maana jenerali alihofia kusimamisha gari kwani alihisi labda wale majambazi wanataka lumuibia au wametumwa kumuua na ikumbukwe huyu alikuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kwahiyo watu kama hawa mara nyingi ni MOST WANTED.

Huku nyuma askari wale wakaona gari limesimama na hatimaye tu walivyofika wakashuka haraka huku wote wakiwa wameshika bunduki zao [nimeshaelezea kila mtu alikuwa na aina gani ya silaha], wakati askari wanakaribia kuwafikia jenerali kombe na mkewe huku nyuma tayari jenerali alikuwa ameshatoka ndani ya gari yake.
Alipokuwa ametoka ndani ya gari alikuwa karibu kabisa na gari yake huku akitahamaki haelewi ni nini kinaendelea.

Wakati jenerali anatahamaki wale askari wakawa wameshafika eneo la tukio huku nyuma mke wa jenerali naye alikuwa ameshuka upande wa pili wa mlango wa mbele, wale askari walipomkaribia tu jenerali wakamyooshea bunduki huku wakijatambulisha sisi ni askari na kati yao kulikuwa na wngine wamevaa sare, jenerali kombe kutokana na kuwa na uzoefu na mambo ya kiusalama hakutaka kuonesha makuu kuwa yeye alikuwa ni nani katika usalama wa nchi na jeshini…

Kwa haraka kabisa jenerali kombe aliinua mikono juu kuonesha wale askari kuwa ametii agizo ingawa bado alikuwa anatahamaki ni vipi tena naoneshewa bunduku na vijana[askari] ambao walikuwa chini yangu juzi tu hapa kabla sijastaafishwa, cha kushangaza wale askari wawili kutoka DAR wakamiminia jenerali kombe risasi nne kifuani mwake bila kuwa na huruma wala kujali kuwa jenerali amesalimu amri kwa kunyoosha mikono juu.

Jenerali kombe alijeruhiwa vibaya sana na zile risasi zilizompata kifuani na hatimaye akapoteza maisha papo hapo, mkewe alizunguka mbele ya gari na kwenda pale chini alipoanguka mumewe na kuanza kumshika huku akilia sana kwa uchungu na kusema “mnajua nani mliyemuua….?” Wale askari hawakutaka kusikiliza chochote, wao walichofanya ni kuwachukua wote na kwenda kuwapeleka sehemu husika ambapo mumewe alipelekwa hospitalini na mkewe alipelekwa kituoni kwa ajili ya mahojiano.

Kule kituoni mke wa jenerali alitoa maelezo kuwa yeye ni nani na aliyeuwawa ni nani, baada ya maelezo hayo kamanda wa polisi Kilimanjaro akapewa taarifa kuwa Yule aliyepigwa risasi alikuwa ni jenerali kombe ndipo yeye akawasiliana na kamanda wa Dar na kumjulisha kilichojiri naye kamanda wa Dar akaongea na mkubwa wake ambaye ni mkuu wa mapolisi Tanzania[IGP]. Baada ya maelezo yake, mke wa jenerali kombe akaachiwa na kwenda hospitalini aliko mumewe na vyombo vya habari huku nyuma vya Tanzania na vya nje ya nchi vikaanza kuripoti tukio lililotokea na nchi nzima ilipatwa na simanzi kutokana na msiba huu mkubwa.
Malizia tu kuwa kesi ilipelekwa mahakamani na ikaonekana wale vijana walimuua kwa makusudi na serikali ikakubali kulipa fidia sh mil. 300
 
Katika nyuzi bora ni huu aisee yaani sichoki na nipo siti ya mbele kabisa natafuna madini adimu kabisa hapa,hongereni wanhangiaji,wengine sisi ni makinda tuna meza tu nyi wakongwe tafuneni tu
Mkuu hata mimi ni kinda, ila code zao nazing'amua kimtindo hakuna ambapo nipo nyuma. Heko kwa wahenga wote wa huu uzi.
 
Mtikila alikuwa analalamika jinsi Tutsi empire ilivopenetrate ila ndo hivyo aliondoka ajali tena walimuuawa akiwa amechoka na safari wakasema eti ajali ya gari oh my Lord wakati waliokuwa nae walikuwa wazima wa afya.

Yule mwanasheria alikuwa kwenye muelekeo wa kumfunga Kaghame kule ICTR ila akujua kuwa ata UD pale walijaa watu wa slim wakiwa na vitengo nyeti ndio hivo marafiki zake walilia akina Kabudi na Chriss Mahina jamaa alizikwa Mbeya.
Mkuu kuna kitu naomba unipe mwanga kama unao,kabla ya kifo cha Mtikila kati ya watu ambao aliwaandama sana alikuwa El lakini sio tu kumuandama bali kum-link na plan ya Tutsi empire kwamba anatumika na PAKA..hii imekaeje?
 
Hili achana nalo kwanza pamoja na kuwa dereva wake aliapa kutokutoa ya moyoni ila ukweli anajua kijana yule Somebody Mallya mpare huyo ambae baadae alivujisha siri jinsi Yule mbunge wa Kigoma aliejinasibu kuwa ameaga alivotakiwa kuuawa am not sure with that notion lakn km unafatilia Yule Mkurugenzi wa ulinzi wa chama chetu pendwa aliozea segerea kabla ya kuachiwa huru .

We must not waste our time asking for this as far as Ata yule kaka ake aliekuwa DG WA REPOA alisema let us buried our dead body Na maisha yaendelee kuna watu watakuambia aliuawa na Aikael eti kisa uenyekiti huu ndio uongo mkubwa.

Hivi unakumbuka kipindi kile Juan alivyouawa na elcadron jamaa waka speculate eti ni vijana wa OR kisa alimuona Balali New jersey watu Ni waongo hatari.
Nimekusoma mkuu
 
Nakumbuka alizikwa Kate huko,na msururu wa magari,alikuwa ni mtu wa system huyu jamaa,alikumbuka kujenga kwao maana wafipa ni Mara chache kujenga nyumbani,ila sikuwa na muda wa kufuatilia nini kilimuua tuendelee tu na DR kwanza...

Huyu Walingozi miaka ya nyuma niliwahi pita Namanyere pale mwanzoni mwa miaka ya 2000 kukawa kuna nyumba moja nzuri kuliko zote kwa kipindi hicho inajengwa nikaambiwa ni yake lakini hv kama mwezi umepita nimepita kule nimeona ile nyumba maskini haikumaliziwa vizuri yaani hovyo kabisa imepauka tu nadhani mauti yalimfika kabla.

Bahati mbaya sijawahi jua chochote kumhusu zaidi ya kuambiwa ni mtu wa sys hata kifo chake nikajua ni kawaida tu.
Ila niliambiwa alijenga nyumba nyingine kiijini kwao huko Kate ipo juu ya mlima hivi..
 
Nje kidogo ya mada.

Hivi kwa nini hawa makamu wa rais toka zanzibar wanakuwaga maboya? Yaani hawana ile ladha ya uongozi. Kuanzia Abdul Wakili, marehemu Dr Omary Alli Juma, Dr Shein, Ghraibu Bilali mzèe wa mikasi na huyu mama samia Suluhu. Yaani sijui nieleze vp.

Uwezi kujua kama ni wapole, hotuba zao hazina ladha zimepoa yaani ccm wanatuletea watu wa ajabu kweli. Kama Bilali ndio alikuwa mzigo kabisa.

Kwenye topic ni kwamba target alikuwa Joseph kabila. Lakini kutokana na uboya wa Dr Omary alishindwa kungamua mwishowe akabadilishiwa sahani/glass na kunywa/kula sumu iliyotakiwa kumuua Kabila. Nashangaa system walishindwaje kumwepusha na huu mtego.
 
Mkuu kuna kitu naomba unipe mwanga kama unao,kabla ya kifo cha Mtikila kati ya watu ambao aliwaandama sana alikuwa El lakini sio tu kumuandama bali kum-link na plan ya Tutsi empire kwamba anatumika na PAKA..hii imekaeje?
Mkuu Mtikila aliuawa na kundi la Elcadron De La Mort " A well trained secret soldiers of Slim thugh deployed in Great Lakes and even SA to attack anyone seemed as threat enemy of Mr Slim . Hayo ya mmasai sina uhakika
 
Mara baada ya muungano was Tanganyika na Zanzibar na kuzaa Tanzania...mchonga aliweka watu huko Zanzibar was kuhakikisha Zanzibar inakuwa sikivu kwa Tanzania ..kwa maana ya viongoz was Zanzibar wafate kile walichokubaliana....karume baadabya kusaini na kuukubali muungano alibain kuwa amesain kitu kilichomtolea meno yote..hana maamumz kwa mambo mengi..akachukia akaanza vijimaneno maneno vyabkutaka kuuvunja muungano..
Vijana was mwl wakawa wanareport kila kitu hapo magogoni na wengi waliokwenda huko walijihusisha na uvuaji was samak Bahrain lakn kumbe wako kazin...
Siku moja mwl akaamuru vikos toka Zanzibar viende Mozambique kwenda kusaidia kupigana vitavya kudai Uhuru was nchi hiyo..kumbuka tz ilikuwa mstari was mbele katika kuosaidia Mozambique..
Karume aliposikia kuwa mwl ametoa order ya wanajeshi toka Zanzibar wamepanda boti kuelekea DSM kisha waende Mozambique ..akampigia sim mwl na kumwambia kwa mini unachujua wanajeshi wangu kwenda vitan bila ridhaa yangu?..Luna majibizano yalitokea na ndipo karume akaamuru not hiyo irud Zanzibar Mara moja..mwl alichukia sana..ikizingatiwa kuwa karume alishaanza vijimaneno meno vyabkuuvunja muungano...ndipo wale vijana walioko Zanzibar wakapewa ujumbe uliohifadhiwa ndani ya yai kisha yai likawwkwa ndan box na juu box likafunikwa na gift paper na kwenda zenji kama zawad...maandaliz yakaanza na hatimae karume akarejeshwa kule ambako huwa hawarud....
...........
Wakat akisherehekea miaka 75 ya kuzaliwa kwake..alimiminiwa wine aipendayo ndani ya glass na kugonga cheers na wageni waalikwa.baada ya cheers ile mwl akanywa wine ile funds tatu na ile Mara ya tatuwakat anatoa glass kinywan aliinua glass kwa juu akawa anaangali wine iliyobaki ndan ya glass kisha akaiweka mezan..
Tayar huko nyuma miezi minne iliyopita mwaka huo 1996 kuelekea 1997alikuwa amepiga kelele sana juu ya nia ya serikali ya kuiuza bank ya NBC....
Mwl akamwita mkapa msasan...mkapa akaenda akiwa amelewa chakali..akamkuta mwl akiwa amepumzika...mwl akapelelekewa taarifabkuwa mh yuko hapa..mwl akashuka akitokea chumban..kabla hajashuka ngaz zote alitupa jicho kwa mkapa na akamuona mkapa akiwa amelewa chakari..mwl hakuongea akarud chumban nakusema hawez kuongea na mlevi..mkapa akaondoka...
Kesho take kama kawaida mwl akaenda miss ya asubuhi hapo st peter..na Mara baada ya miss akaenda kwa kadinali pengo..ndan ya of is akaionga pengo,mwl,msaidiz was mwl na msaidiz was pengo...mwl akiwa na huzun nyingi akamwangalia msaidiz was pengo huku mwl akilia machozi na akimwambia pengo nimekuja ili uende ukamwambie kwa mini amekja kwangu akiwa amelewa namna ile nimemkosea mini?.pengo alijibu kwa kingereza akasema ..mwl I will work on it..kisha akasema kwa kiswahili nitakwenda Leo join na nitafikisha ujumbe..mwl akaaga akaondoka..
Kesho yake na hats kabla hajapewa mrejesho na pengo mwl akaenda ikulu bila taarifa..akapokelewa na wasaidz was rais..ratiba ya rais wakat huo alikuwa na ugen toka umoja was mataifa..msaidiz mmoja akaenda akamwambia mkapa..mwl amekuja yuko hapo koridon amesimama anahita kukuona..mkapa akaomba udhuru kwa wagen akaenda kumuona mwl..na ndipo mwl akamwambia ..Ben kwa nn ulikuja kwangu ukiwa umelewa..kwa nn unataka kuiuza NBC...nilikuamini sana ila umeniangusha mno malizia miaka iliyobaki ukapumzike nchi ataishika mwingine...mkapa hakujibu neno mwl akaondoka..
Kilichofuata mwl aligundulika na leukemia...akalazwa st Thomas tena general Hosp...halio yake ikazolota na mkapa akitokea uswis akapita London kumjulia halo mwl na tens hakuingia chumban alikolazwa mwl Bali alimwangalia militia kwenye kiooo na kuondoka..alipofika DSM akautangazia umma kwa kusema ..mwl is recovering very slowly..hatimae nae akarejeshwa Kule kule wasikorud October 14..lait kama angejua ile wine asingeinywa siku ile ya birthday yake.

..............
Dr omali Ali juma in kama mmoja alivosema hapo juu juu ya kubadilishwa mic na sio chakula lakini inteligensia ya Tanzania nayo ilikuwa inajua fika kuwa siku hiyo ni siku ya mwisho kwa Dr juma...kulikuwa na mambo mengi yanaendelea chini kwa chini yaliyokuwa yakiratibiwa na dr ali bili ridhaa na baraka za wakubwa....
.....
Wako wengi wameondolewa kama vile
Komba
Kolimba
Mgina(wazir wa fedha)
Jb belmonte
Amina chifupa
Balali
Sokoine..na wengine wengi tu..
naitamani hiyo ya dada Amina Chifupa aisee mana niliumia sana alivyoteseka hadi umauti [emoji22]
 
Shawn Stockman, Wanya Morris,Nathan Morris, Michael McCary na Marc Nelson
Hapo ndipo tu mmempoteza huyo mtanzania alietaka kujua nimecheka sana kwa kweli.
Na huyo Wanya Morris ndio alikuwa anamgonga Brandy Norwood
Mtafanya jamaa ahamie mazima kule kwa Mack Zuk na asirudi tena . Jf rahaa kweli
 
Back
Top Bottom