Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Mechi zilikuwa ngumu sana ile timu kila wakibadilisha magoli watu wanaweka... Ikabidi wamrudishe kwa Muda Kama Paul Scholes pale man utd.... Akaonyesha cheecheeee... Akawachukua kwa mkopo Maradona mzee wa millets pale pale mzee aliyekuwa Mkufunzi wa siasa jeshini wakaaanza safari za kurudisha Chama chetu barabarani kwa ile shughuli ilibidi tu usajili uwe wa kudumukweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??