Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

kweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??
Mechi zilikuwa ngumu sana ile timu kila wakibadilisha magoli watu wanaweka... Ikabidi wamrudishe kwa Muda Kama Paul Scholes pale man utd.... Akaonyesha cheecheeee... Akawachukua kwa mkopo Maradona mzee wa millets pale pale mzee aliyekuwa Mkufunzi wa siasa jeshini wakaaanza safari za kurudisha Chama chetu barabarani kwa ile shughuli ilibidi tu usajili uwe wa kudumu
 
Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?
Muulize Mzee wa bila cheti cha kuzaliwa hakuna ndoa anaweza kukujibu vizuri.....
 
alikuwa nani na kwann mwanae dully sio mwanasiasa...alifanikisha nn ccm nk?
Dully ni mjukuu... Kina Sykes na Kaka yake walienda vitani vile vya dunia waliporudi wakaanzisha vuguvugu kipindi hicho mchonga bado kabisa... Ndio walimkaribisha mchonga kwenye harakati na akawapoteza kabisaaaaa hawasikiki kabisa hao kina Dosa Azizi na wengine wengi historia inambeba sana mchonga kuliko hao jamaaa walimkaribisha mjini akafuta kabisa jumuiya y Waislamu afrika mashariki na kuanzisha bakwata na kuwapa Mali zote za iliyokuwa jumuiya ya Waislamu.... Mchonga hapa napo alicheza kama Pele maana walikuwa wananguvu sana hawa jamaa
 
Mmmmh huu uzi kiboko Izi codes za humu kama ww ni mkoromije huwezi ztambua unaanzaje sasa kuitambua DSTV ukiingia kichwa kichwa una weza hisi wana zungumzia multichoice na supersport kumbe ni hidden code
DSTV St Peters watu wasiojulikana... Kazi kwako
 
Dadavua kidogo kuhusu huyu prof huwa naona jina bila nondo zinazomuhusu, VP hadi PK akamnyemelea?
Ishaongelewa hiyo mbona,huyo Mnyaki(Fundi wa Sheria) alikuwa anasimamia kesi za Genocide kule AR na alikuwa ameshafikia hatua nzuri ambayo ilikuwa inaenda kumuacha uchi PAKA.

Kilichofuata ndo kama hivyo,watu wasiojulikana wakamtanguliza mbele za haki na mpaka sasa kabaki historia.
 
Back
Top Bottom