Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Dully ni mjukuu... Kina Sykes na Kaka yake walienda vitani vile vya dunia waliporudi wakaanzisha vuguvugu kipindi hicho mchonga bado kabisa... Ndio walimkaribisha mchonga kwenye harakati na akawapoteza kabisaaaaa hawasikiki kabisa hao kina Dosa Azizi na wengine wengi historia inambeba sana mchonga kuliko hao jamaaa walimkaribisha mjini akafuta kabisa jumuiya y Waislamu afrika mashariki na kuanzisha bakwata na kuwapa Mali zote za iliyokuwa jumuiya ya Waislamu.... Mchonga hapa napo alicheza kama Pele maana walikuwa wananguvu sana hawa jamaa
20171024_103057.jpg
chukua zege hiyo uichanganue...
 
Kuna mwalimu wangu mmoja wa sociology alinifubdisha kuwa moja ya sifa kubwa ya jamii masikini ni kutokukubali kuwa kuna natural death kwa binadamu. Kila kifo kina mtu nyuma yake.
Bila shaka hayo yalikuwa mawazo yake binafsi...
 
Wewe una kichwa kizito sana,au siyo mtanzania?
unaona kabisa kuwa sabasaba inaanzia tarehe 1/7/..-viongozi wanaenda uwanjani tarehe 4/7/ ... ila kilele ni tarehe 7/7 unatuchosha bana.
Bora uwe unasoma tu,siyo lazima kuchangia,mtanzania hujui hata sabasaba?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji106]
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Duuuh,sasa komba hayupo tena,nani atae tuimbie tana?.
 
Wew unaongea pumba kabsa, ebu nenda ulaya utajua MTU Hata Kama amekufa kwa ajali ya moto au Hata ajali watamchunguza tu wajue nn chanzo cha kifo coz inawezkana alikufa kabla ya kuungua n.k so unasema hao ni masikini
Elimu yenyewe ukute hadi anamaliza hajawahi kwenda hata makitaba, ila alielewa vitini na maneno ya mwalimu wake kama yalivyo...hiyo homework unayompatia hatakuelewa.
 
Duuuh,sasa komba hayupo tena,nani atae tuimbie tana?.
Kuna bendi ya chama mkuu uijui ? Komba nae aikuwa aondoke mapema vile ila kupitia mwanakitengo on going DG wa benki ya watu vijijini akaongezewa BP kwa kutaifisha mali zake mpaka bakili muluzi hapo tabata relini . Sijajua aliwakosea nini ndo hivo jamaa alizikwa Songea boys
 
Watu wanazaliwa na kufa...na hata kama sio kwa kulala kama Dr. Juma, tutakufa hata viunoni kwa wanaopenda ngono. Kuna mwimbaji mmoja wa DRC Congo alifariki akiwa jukwaani. Watu wengi wakaja na theories kibao eti kuna waliomuua. Kumbe alitumia viagra baada ya kupata kibinti kibiji na yeye mambo yale yameenda saa kumi na mbili jioni.

Ninachotaka kusema ni kuwa, sijui sana ila tusianze kufikirishana kuwa viongozi wao hawapaswi kufa. Hata Mwalimu kuna theories nyingi sana juu yake.
kakojoe ulale....shubamiiiit
 
Sio kwamba tunawakodi ila wanakuja kwa ajili ya special missions to be accomplished. Tena huwezi amini wengine wamekuja juzi juzi tu hapa kama miezi 13/14 hivi iliyopita baadhi wakiwa ile jinsia pendwa ya 'Ke'.

Ziara ilifanyika ya Pogba kwenda kwa bwana Pk kama unakumbuka. Anzia hapo sasa.
Mkuu, hebu thibitisha uvumi wako sasa ili nasie wahuku shambani tuelewe watu wasiojulikana ni akinanani
 
Dr. kifo chake kinatoka na kuusika kwake na baadhi ya wafanya biashara wa mafuta. Mmoja wapo akiwa mfanya baashara maarufu wa morogoro wa kipindi hicho alikuwa ni mmiliki wa tim ya mpira moro united. mafuta yao walikuwa wanawauzia waasi wakongo kinyume cha sheria, dr alikuwa anatoa vibali ambavyo vinaonyesha serikali ya tanzania imekubali kufanya biashara na waasi hao wa kongo.

baada ya kabila kuyakamata magari ya mafuta ya tanzania na kukuta vibali vina sign ya dr. aliamua kuja mwenye tanzania na kumuonyesha mzee benja vibali vyote, kwamba inakuwaje waasi wanamsumbua kumbe yeye benja anawa suppot kwa kuwauzia mafuta?, Mzee ilimuuma sana hii kitu maana niaibu kubwa na ina hatarisha diplomasia. Mzee benja akaitisha kiako ambacho dr alikuwepo na kuelezwa ubaya wake na achague mwenye kifo chake ili kulinda aibu yake na ya tanzania. hii inatokana na viapo ambavyo viongozi wanaapishwa watailinda nchi kwa garama zozote bila kuitia kwenye mzozo wowote.
Kawadanganye wadogo zako wa fesibuku
 
Ishaongelewa hiyo mbona,huyo Mnyaki(Fundi wa Sheria) alikuwa anasimamia kesi za Genocide kule AR na alikuwa ameshafikia hatua nzuri ambayo ilikuwa inaenda kumuacha uchi PAKA.

Kilichofuata ndo kama hivyo,watu wasiojulikana wakamtanguliza mbele za haki na mpaka sasa kabaki historia.
Kuna rafiki yangu moja wakati nasoma shule ya upili Ilboru alikuwa anawahi sana kanisani (kumbuka ndani ya shule kuna kanisa la kkkt as long as shule ilikua ya walutheri kabla aijataifishwa) akajibu kuwa yeye ni kama zakayo anataka amuone Yesu ili amfariji na kumuombea baadae

Jamaa alikuwa TO kwani alinunuliwa na watu wa Feza yupo Uturuki huko mwanangu sana uenda tukakutana hapa Moscova mwakani. Alimaanisha vitu vingi sana , eleweni hivyo hivyo.

Samahani kwa maneno mengi bt you seemed to have signs of my friend I mentioned above. Keep it up dude.
 
Mkuu, hebu thibitisha uvumi wako sasa ili nasie wahuku shambani tuelewe watu wasiojulikana ni akinanani
Bwana mdogo tulia watu wasiojulikana hawajulikani kamwe na wakijulikana raia wa kawaida uwaondoa haraka kifupi tunawaita au tunaitwa undercover agents once tumekuwa covered ata boss anatukana kuwa hatujui so utasubiri sana kuwajua wasiojulikana for their own sake hawawezi kujulikana NEVER AND EVER
 
Bwana mdogo tulia watu wasiojulikana hawajulikani kamwe na wakijulikana raia wa kawaida uwaondoa haraka kifupi tunawaita au tunaitwa undercover agents once tumekuwa covered ata boss anatukana kuwa hatujui so utasubiri sana kuwajua wasiojulikana for their own sake hawawezi kujulikana NEVER AND EVER
Kwahiyo mission nzima ya wasiojulikana from ng'ambo chattel boy anaijua sio? kama ndio basi mkwere kapigwa bao kitambo kumbe
 
Back
Top Bottom