Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Naelewa mkuu kuwa upatu unageuga..! Mwisho wa siku simba mwenye kucha ndio anakuwa mtawala kwenye kitoweo.

Kila mmoja lazima ataanda wa kwake, B2M lazima ije kivingine this time..na kuna dalili kubwa Vasco da gama akarudisha jina la binamu wa mkewe mdogo..
samahani mkuu,hivi binamu ya mke wa Vasco da Gama anaposition gan saiv?
 
Mkuu sometimes yakupasa kuwaza kwa makini sana ubaguzi wetu sisi ulianzia zamani kati ya mchonga na malihai walipotofautiana maya regionalism after that ni genotype. Tuzidi kuomba mengine tuyaache .


Malihai ndiyo nani mkuu?
 
What are the chances za alumni wa Ubatani? In 2 and half yrs anaweza kuvuka habari otherwise asubiri 8 more years huku kwa machogo....je king maker anamkubaki?
wanasema his chances are slim both sides of the Union. Lakini kama ana akili ajaribu kule visiwani and who knows he can repeat what mzee did kupiga kote kule na huku kwa machogo billy na pohamba wanaweza kuwa na detailed analysis ya jamaa maana mkimya sana na dingi inaonekana ni mzungumzaji kuliko jamaa
 
Back
Top Bottom