Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hivi ishu ya mangula mbona inafichwa fichwa sn.......Nani mccm kamlisha sumu?
 
Hatari sn hizi sirikali
Hilo sii jambo dogo mkuu, ndio maana wana siasa & wafanya biashara walioiva wako radhi kufanya lolote ili kulinda maslahi yao & kujilinda wao wenyewe

Kumbuka nafasi za kisiasa huwa ni chache na ili uipate lazima wengine waikose, vivyo hivyo na kwenye biashara
 
Hilo sii jambo dogo mkuu, ndio maana wana siasa & wafanya biashara walioiva wako radhi kufanya lolote ili kulinda maslahi yao & kujilinda wao wenyewe

Kumbuka nafasi za kisiasa huwa ni chache na ili uipate lazima wengine waikose, vivyo hivyo na kwenye biashara
Sure mkuu wangu
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
😂
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana

what does this mean?
 
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana!

Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa mifugo kutoka huko Pemba.

Ni nani aliediverge hii issue na hatimae kuondoka na Dkt Omary deceased?

Tanzania kuna mengi ila it is claimed that Museveni was planted to rest in hell before things change during that time 13:00, 4/7/2001.

Ngoja nimalizie kunywa spirit iniondolee baridi maana nashindwa kuandika.
Sijaelewa huo utata sasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Mkuu yaonesha wajua mengi sana kuhusu hiki kisa, naomba utupe hizo taarifa ili tuondoe zile za kuambiwa ambiwa enzi zile tukio lilipojiri
 
Jana ilikuwa kumbukizi ya kifo chake, but nobody gives a fvck anymore!!
 
Back
Top Bottom