Utata wa maamuzi: Nimeona elfu mbili nje barabarani na mimi niko kwenye hiace

Utata wa maamuzi: Nimeona elfu mbili nje barabarani na mimi niko kwenye hiace

Mimi nilipoteza barabarani ela ndefu naenda kulipa ada niliamua kurudi tu kuanza kutafuta galfa nikasema ngoja nirudi nyuma kumbe kwenye kadimbwi kaliko na vimajani kuangalia pembeni kwenye kidimbwi sio tu ada peke yake nilipata bali wallet kucheck ndani mastercard vitambulisho vingi kama passport mambo kibao ya mzungu.
Sasa ndani imejaa pesa zake nikaona iwe hivi nipeleke kwa mjumbe au nitangaze kwenye visehemu vya home .
Nilikaa siku mbili.
Yule mzungu akaja kwetu akuuliza hela alinishukuru kwani vitu ni salama.
Ila niliona nyota.
Ada nimepata nahela ya ziada hadi raha.
 
Ningeruka.

Kuna siku nilimpa konda mia tano akasahau kunipa mia yangu nikashuka gari ikaondoka.
Nilivyokumbuka nikakamata boda fasta kuikimbiz gari.
Boda boda nikampa buku jero konda akanipa mia yangu.
Badae nilijiona mjjinga sana
hahaaaa
 
Hela hizi!!, zinasababisha tuamue maamuzi ya ajabu!
Nilikuwa nakojoa kwenye choo cha umma, nauli ikadondoka kutoka kwenye mfuko wa shati, kwa sababu hela ilikuwa ni hiyohiyo tu, nikaingiza mkono kwenye mfereji wa mkojo kuitafuta, mkono wa kushoto nikaona unanichelewesha, nikaingiza mkono wa kulia kuanzia mwanzo wa mfereji hadi mwisho wa mfereji, sikuiona.
Siku hiyo nilitembea kwa miguu kutoka Posta mpaka Kiwalani!
hahaaaa manina ..daahh ningekuwa ndiye mimi nisingetembea umbali wote huo khaaaa ...simple tu ningemfuta konda ningeongea nae kiume aiseeee ..ninge mwambia kwalugha ya busara kabisa..kuwa mkuu nimeibiwa wallet ilikuwa na Pesa na baadhi ya documents zangu ..tafafhali naomba unisaidie nifike kiwalani maana hapa nilipo sina hata mia..so huwa hawakatai maana kama ulikuwa upo msafi msafi huwa wnaamini kweli umefkwa na matatizo
 
Mimi iliwahi kunitokea ila pembeni kulikua na jamaa muuza maji nikampigia mruzi nikamuonyeshea chini akaikota akatupia jicho kwenye gari akanionyeshea dole gumba na mimi nikamuonyeshea dole gumba tukatabasamu ile nashusha tu mkono chini gari zikaruhusiwa.Hakika nilisikia faraja sana moyoni,nilikua na stress lakini zote ziliisha ghafla na mwili wangu ukawa mwepesi kana kwamba nilibeba mzigo mzito sana halafu nikautua.Jambo hili ni moja katika wema nilioufanya duniani ambao nitaukumbuka katika maisha yangu.Hii ilitokoea mataa ya magomeni upande wa magomeni mikumi usawa wa ile Hotel
Na Mungu lazima alikubariki mara mia
 
Hela hizi!!, zinasababisha tuamue maamuzi ya ajabu!
Nilikuwa nakojoa kwenye choo cha umma, nauli ikadondoka kutoka kwenye mfuko wa shati, kwa sababu hela ilikuwa ni hiyohiyo tu, nikaingiza mkono kwenye mfereji wa mkojo kuitafuta, mkono wa kushoto nikaona unanichelewesha, nikaingiza mkono wa kulia kuanzia mwanzo wa mfereji hadi mwisho wa mfereji, sikuiona.
Siku hiyo nilitembea kwa miguu kutoka Posta mpaka Kiwalani!
Na mikojo ukashika dah!
 
Nilikuwa ndani ya hiace, tukawa tumesimama kwenye mataa round about, nilikuwa seat ya mwisho dirishani, ghafla kutazama mbele kidogo pembezoni mwa barabara, kulikuwa na elf 2, ndani ya hice watu wamejaa sana, nimeshindwa kumwambia mtu yeyote mpaka tukaondoka.

Je, ungekuwa wewe ungefanyaje na home au getho una elf 1 tu ya tahadhari?
swali gani ili sasa.
 
Nilikuwa ndani ya hiace, tukawa tumesimama kwenye mataa round about, nilikuwa seat ya mwisho dirishani, ghafla kutazama mbele kidogo pembezoni mwa barabara, kulikuwa na elf 2, ndani ya hice watu wamejaa sana, nimeshindwa kumwambia mtu yeyote mpaka tukaondoka.

Je, ungekuwa wewe ungefanyaje na home au getho una elf 1 tu ya tahadhari?
2000 tu inakupa ukichaa
 
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] Shikamoo Magufuli
 
Kama hujawahi kutwa na magumu,Mshukuru Mungu
these are simple issues(what iff situations) they are not really
you are taking them too seriuos
ni kama yale mafumbo tuliyokua tunaulizana darasa la3.
You are taking life too serious, you will never enjoy the sunshine.
 
Back
Top Bottom