Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

Sisi tunashikilia ya UN kwamba endapo nchi ni majirani na wanashare water bodies hivyo inatakiwa mpaka uwe katikati na si vinginevyo..
Pia kipindi Cha mvua your so called Lake Malawi linaongezeka ukubwa, maji ya ziwani yanakuja Hadi Kijiji Cha Isanga na ngonga hivyo,mpaka wa ziwa unakuwa ndani ya hivyo vijiji...kwahiyo kwa mantiki Yako ni kwamba kumbe kipindi Cha masika Mpaka wa Malawi Unaingia hadi vijiji vilivyopo pembezoni mwa ziwa hilo!
Nenda kyela,tembelea vijiji vya kata ya ngonga,Mwaya hadi Matema..halafu uje uelewe Mantiki iliyowekwa na UN uifananishe na huo UROJO wako uliouandika.
Achana naye huyo mchamba wima.Haijui Tanganyika anabwabwaja kama vile anakuywa chai na tambi.
 
Serikali ya Tanzania imetoa tamko la marufuku ya kuzuia matumizi ya google map yenye kuonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye ziwa Nyasa ulipo kutumika kufundishia mashuleni. Kwenye ramani hiyo ya google inaonyesha mpaka wa kisheria uko pwani ya Ziwa Nyasa upande wa Tanzania na hapo hapo kuonyesha mpaka ambao Tanzania inadai ambao uko katikati ya Ziwa Nyasa. Kimsingi google map wako sahihi kwa 100%. Huo ndio ukweli ambao umekuwepo siku zote kabla hata ya kupata Uhuru na baada ya kupata uhuru.

Mpaka leo hii Tanzania tunadai kupata haki ya kumiliki karibu nusu ya Ziwa Nyasa lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Malawi bado wana umiliki wa Ziwa Nyasa lote katika mpaka wake na Tanzania. Ni ukweli mchungu dhidi ya Tanzania na ukweli usio wa haki. Lakini ndio ukweli halisi. Tuna haki ya kudai ubadilishwe lakini hatuna haki ya kuupotosha.

Zama za kuwadanganya watu kielimu na kuwatisha wasijifunze kujua nini dunia inasema na kutambua (tofauti na vile walivyoaminishwa awali) kuhusu jeografia, historia na sayansi zimepitwa na wakati.
Hebu leta ramani ya kabla ya uhuru.
 
Serikali ya Tanzania imetoa tamko la marufuku ya kuzuia matumizi ya google map yenye kuonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye ziwa Nyasa ulipo kutumika kufundishia mashuleni. Kwenye ramani hiyo ya google inaonyesha mpaka wa kisheria uko pwani ya Ziwa Nyasa upande wa Tanzania na hapo hapo kuonyesha mpaka ambao Tanzania inadai ambao uko katikati ya Ziwa Nyasa. Kimsingi google map wako sahihi kwa 100%. Huo ndio ukweli ambao umekuwepo siku zote kabla hata ya kupata Uhuru na baada ya kupata uhuru.

Mpaka leo hii Tanzania tunadai kupata haki ya kumiliki karibu nusu ya Ziwa Nyasa lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Malawi bado wana umiliki wa Ziwa Nyasa lote katika mpaka wake na Tanzania. Ni ukweli mchungu dhidi ya Tanzania na ukweli usio wa haki. Lakini ndio ukweli halisi. Tuna haki ya kudai ubadilishwe lakini hatuna haki ya kuupotosha.

Zama za kuwadanganya watu kielimu na kuwatisha wasijifunze kujua nini dunia inasema na kutambua (tofauti na vile walivyoaminishwa awali) kuhusu jeografia, historia na sayansi zimepitwa na wakati.
Wazanzibar si watu wa kuwapa nchi hii waongoze hawa watatuuza kabisa ni basi tu mistake ilifanyika
 
Sisi watanganyika na nkiwa mkazi wa mby kamwe hatutakubali kumpa kipande cha ardhi malawi ili eti atuachie ziwa kama walivyokubalian na msumbij,kwetu hiyo haipo. Yan kalibia mito yote mi4 inayopeleka maj ziwan inatoka tz af et tusipate umiliki hyo haitakuja kutokea mpaka upo sahihi katikat ya ziwa watake wasitake.
 
Unajua kwamba OAU walikubaliana kuwa mipaka ya kikoloni ndio iendelee kutumika baada ya uhuru?

Yani unataka kusema kwamba nchi za Afrika tuna busara sana kwahiyo tuanze kuchora upya mipaka. Unazijua akili za Mwafrika kweli mkuu?

Yani turudie kuchora, Uganda wapendekeze kupata Kagera salient, Kenya wapendekeze kupata mlima Kilimanjaro pale ambapo ramani ilipindishwa ili mlima uwe Tanzania, Zanzibar wadai pwani ya bara maana kuna Sultan aliwahi sema anaimiliki na akiwapa Wajerumani sijui, Tanzania tudai sehemu ya Masai Mara ya Kenya ili Wamasai wote wawe Tanzania, Kenya wapendekeze waongezewe sehemu ya ziwa Victoria wawe nayo nyingi maana Tanzania imechukua kipande kikubwa zaidi, Burundi nao waombe sehemu kubwa zaidi ya ziwa Tanganyika. Hapo ni sisi tu, bado sehemu nyingine za Afrika.

Kiuhalisia ukisoma Helligoland treaty na mkataba mwingine, hakuna ushahidi unaoonyesha Tanzania tunamiliki nusu ya ziwa Nyasa. Hata Wajerumani waliokuwa wanatawaka Tanganyika ramani yao inaonyesha Nyasa nzima ni ya Malawi.

Sisi Tanzania tunakuwa na claim kuwa wazungu walikubaliana kama kuna chanzo cha maji mpakani basi kigawanywe kila nchi inayopakana ipate kiasi chake. But that wasn't the case kwa ziwa Nyasa. Tukienda mahakama ya usuluhishi, zikaletwa mikataba na mashahidi wakoloni Tanzania tunashindwa asubuhi na mapema kabisa.
Umeeleza vyema.

Suala hili lilijitokeza tokea awamu ya kwanza. Tanzania ilifungua kesi kudai mpaka wa Ziwa upite kati kati ya Ziwa tofauti na Heligoland Treaty ya Great Britain na Ujerumani ya 1890 iliyowapa Malawi ziwa lote upande wa kaskazini kwa kupitisha mpaka kwenye pwani yote ya Tanzania.

Tatizo nyakati zile Nyerere aliweka nguvu kubwa kupambania umoja wa Afrika wakati OAU ikisisitiza nchi za Afrika kuheshimu mipaka iliyoachwa na wakoloni. Na kwa vile hakukuwa na mtafaruku wowote kwenye ziwa, serikali ya awamu ya kwanza haikutilia maanani sana haja ya kupambania mpaka wa ziwa.

Baadaye UN law of the Sea ikaweka wazi kuwa mipaka ya maziwa na mito iliyoko kati ya nchi mbili sharti iwe katikati ya hayo maji. Lakini hiyo siyo automatic. Lazima nchi zikubaliane kwa hati rasmi.

Serikali ya Tanzania bado haijafanikiwa kupindua mkataba wa Heligoland. Hivyo kimataifa mpaka wa ziwa KISHERIA unatambuliwa kama ulivyo chini ya Heligoland Treaty ya 1890! Google na wachapishaji wote wa ramani ya hilo ziwa wanatambua mpaka huo wa kikoloni - hadi hapo sheria itakapobadilika.
 
Sisi watanganyika na nkiwa mkazi wa mby kamwe hatutakubali kumpa kipande cha ardhi malawi ili eti atuachie ziwa kama walivyokubalian na msumbij,kwetu hiyo haipo. Yan kalibia mito yote mi4 inayopeleka maj ziwan inatoka tz af et tusipate umiliki hyo haitakuja kutokea mpaka upo sahihi katikat ya ziwa watake wasitake.
Yaani masika nikiangalia mto kiwila na song we unavyoyamimima maji kwenda kwa Sumbi halafu eti Sumbi gwa kumalabhi....nakamo..
Atukuketa, kibhoko tukimenye atukukomana.
 
Unajua kwamba OAU walikubaliana kuwa mipaka ya kikoloni ndio iendelee kutumika baada ya uhuru?

Yani unataka kusema kwamba nchi za Afrika tuna busara sana kwahiyo tuanze kuchora upya mipaka. Unazijua akili za Mwafrika kweli mkuu?

Yani turudie kuchora, Uganda wapendekeze kupata Kagera salient, Kenya wapendekeze kupata mlima Kilimanjaro pale ambapo ramani ilipindishwa ili mlima uwe Tanzania, Zanzibar wadai pwani ya bara maana kuna Sultan aliwahi sema anaimiliki na akiwapa Wajerumani sijui, Tanzania tudai sehemu ya Masai Mara ya Kenya ili Wamasai wote wawe Tanzania, Kenya wapendekeze waongezewe sehemu ya ziwa Victoria wawe nayo nyingi maana Tanzania imechukua kipande kikubwa zaidi, Burundi nao waombe sehemu kubwa zaidi ya ziwa Tanganyika. Hapo ni sisi tu, bado sehemu nyingine za Afrika.

Kiuhalisia ukisoma Helligoland treaty na mkataba mwingine, hakuna ushahidi unaoonyesha Tanzania tunamiliki nusu ya ziwa Nyasa. Hata Wajerumani waliokuwa wanatawaka Tanganyika ramani yao inaonyesha Nyasa nzima ni ya Malawi.

Sisi Tanzania tunakuwa na claim kuwa wazungu walikubaliana kama kuna chanzo cha maji mpakani basi kigawanywe kila nchi inayopakana ipate kiasi chake. But that wasn't the case kwa ziwa Nyasa. Tukienda mahakama ya usuluhishi, zikaletwa mikataba na mashahidi wakoloni Tanzania tunashindwa asubuhi na mapema kabisa.
Wewe Kwa akili yako mpaka sasa hivi unaonaje kiongozi,Kuhusu hili swala la ziwa Nyasa lifike mpaka kwenye ardhi yetu afu tusiwe na hata chembe ya umiliki alafu ukiuangalia vyanzo vingine vya maji vinavyo husisha nchi zaidi ya moja mpaka wa nchi hizo huwa unasoma ndani ya maji ya chanzo husika Cha maji.?

Hata kama tukikubari mipaka ya kikoloni ndio itumike lakini Kunasehemu lazima tutumie uelewa wetu kutatua migogoro mfano hasa kwenye ishu Kam hii ya maziwa na vyanzo vingine vya maji vilivyo mipakani.( Mimi naona itakuwa jambo la ajabu ziwa liguse sehemu tatu zijulikanazo kama nchi afu nchi moja ijipe umiliki waziwa lote

Usikute mjerumani alikubali ziwa liwe kwaupande wa Lawi tu kwasababu ya mapatano Yao yakipindi hicho Cha ukoloni kwamba Kila mzungu apate(hawakuwa na hasara sana maana wao wamekuja kutafuta Mali na Kila mtu apate Ili tu wapunguze migogori huko kwao ulaya.)
 
Mtu sahihi alikuwa Nyerere (kwa sababu alikuwa na ushawishi), na labda Kikwete (alikuwa ni mwanadiplomasia mzuri), tofauti na hapo tupate rais mwenye kujua sheria za kimataifa vizuri (hapa nadhani Lissu atatufaa zaidi). Magufuli angeishia kutumia nguvu (jeshi), Ziwa tungelipata lakini tungeshindwa kulitumia, lingeishia kuwa kambi ya wanajeshi wa majini.
Mngelipata kwa kutumia nguvu kwa jeshi gani mlilo nalo?
CCM badala ya kutumia pesa kuimalisha jeshi wao wanatumia pesa kununua mashangingi ya kutembelea.
 
Wakati wa masika tenende yote Ile inafurika maji hadi inakuwa ngumu kupita kwenda Ipinda na kyela...maji yoote yanakwenda Sumbi...halafu mpemba mmoja anakuja kusema maji yakishaingia kwa Sumbi...yanakuwa siyo yetu tena,yanakuwa ya Malawi..😂😂😂 bora ziwa lingekuwa mbaaaaliii huko...lakini ni hapohapo kyela....😂😂😂😂 We mpemba nenda kale maembe ng'ong'o. Utakuwa hujitambui..
Kwahiyo hata usipa wa Kwa Sumbi ni wa Malawi,inabidi tutozwe Kodi?
Loli untu gwako ukakanunu.
 
Kam huko mbelen viongz wakuu wa Tanzania na malawi wakipshan panaweza leta changamoto zakumwaga damu.
 
Hivi unajua Zanzibar tuna eneo letu rasmi kisheria huko Tanganyika maeneo ya Bagamoyo. Ni maelfu ya ekari, eneo kubwa huenda zaidi ya nchi ya Vatican. Hivyo wazanzibar wote tunaweza kuja hapo Tanganyika, tukaanzisha taifa letu jipya dogo ndani ya taifa lenu huku tukila mema ya Tanganyika huku mazombi ya kitanganyika yakieendelea kulia lia.
Tanganyika ni shamba fulani la bibi mzee sana.
Hivyo ukae utulie tu.


Niishie hapo.
🤓🤓🤓 Yani mtu katoka zake omani kaja kwatumia mtutu kufosi mpaka uvuke maji tena majia ya bahari yapatayo zaidi ya kilometers 30 Ili tu atimize matakwa yake ya kibiashara.

Bora ingekuwa ni wa bantu wenye walipigana na kumwagana damu haswa kutokea huko zenji Ili tu waimiliki pwani ya Tanganyika japo nahisi mizozo ingeendelea mpaka Sasa hivi kama tu wabantu wazanzibari wangekuwa wanaishika hii pwani ya Tanganyika.

Binafsi naona ni ngumu sana kueleweka ata tukisema kulikuwa Continental drift.Mipaka inayohusisha maji ndio mipaka ambayo naiona inakuwa rahisi kuamuliwa
 
🤓🤓🤓 Yani mtu katoka zake omani kaja kwatumia mtutu kufosi mpaka uvuke maji tena majia ya bahari yapatayo zaidi ya kilometers 30 Ili tu atimize matakwa yake ya kibiashara.

Bora ingekuwa ni wa bantu wenye walipigana na kumwagana damu haswa kutokea huko zenji Ili tu waimiliki pwani ya Tanganyika japo nahisi mizozo ingeendelea mpaka Sasa hivi kama tu wabantu wazanzibari wangekuwa wanaishika hii pwani ya Tanganyika.

Binafsi naona ni ngumu sana kueleweka ata tukisema kulikuwa Continental drift.Mipaka inayohusisha maji ndio mipaka ambayo naiona inakuwa rahisi kuamuliwa
😂😂😂😂 Waguse pwani waone...wapemba wanamatatizo...
Yaani wamanyema wa Tabora,pua Pana kama yangu walienda Unguja kipindi hiko Cha Biashara ya meno ya ndovu ..Leo wanajifanya ni waarabu...😂😂😂😂 Bila ya Okelo mgetawaliwa hadi kesho....
Zanzibar ni mkoa wetu,period.
 
Huyu ana siasa ya kuwagawa watu,yaani wengine wanahangaika watu waungane,yeye anafanya juu chini kutugawa..
Vijiji vyote vilivyopo pembezoni mwa ziwa nyasa kwa upande wa kyela ,kwa kipindi Cha masika,mpaka wa ziwa Unaingia ndani kabisa ya vijiji hivyo,kwahiyo tuseme kipindi Cha masika Malawi inakuwa kubwa hadi kuingia kwenye vijiji vyetu?
Hili jambo siyo la kulichukulia juu juu watuulize tuliowahi kufika huko na kujionea.
Nahisi pia kaja kuchokona hisia za Watanganyika.
 
Back
Top Bottom