Utata wa nyumba mpya ya Diamond waibuka

[emoji3] [emoji3] [emoji3] haya bana
ila akina Nifah wanadai kuwa tukiwa kwenye hizi thread za ubuyu ni ruksa kujiachia!![emoji23] [emoji23] [emoji23] ......ila sitorudia tena,naogopa kuitwa mwanaume wa Dar!![emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Mange povu linamtoka balaa anatangaza kuacha umbea na kuwa madam lakini wapi kweli mjaa asili haachi asili yake
 
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba

Source: Mange Kimambi
Mange
 
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba

Source: Mange Kimambi
basi akuuzie ww n mange iwe yenu tu nyie sw
 
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba

Source: Mange Kimambi
Simpendi huyo dada
 

Wewe hata kibanda cha mbwa hujanihonga nakuangalia tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…