Bwana kaduga
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 863
- 1,812
Asante sana JAMII FORUMS kwa kutuletea STORY OF CHANGE.
Bila shaka viongozi wamekuwa wakisikia changamoto ya maji karibia TANZANIA nzima, ama kwa hakika TANZANIA TUITAKAYO ni ile ya viongozi kuweza kupokea malalamiko ya wananchi wao na kuitatua kwa wakati.
Tunataka nchi nzima iwe na maji ya uhakika na sio maji yapatikane mijini tu na tena upatikanaji wake ni wa mgao, maji yakitoka jumamosi hadi jumanne ndio yatoke tena hiyo sio TANZANIA TUITAKAYO.
Viongozi husika wa watatue kero za wananchi kwa wakati, wawatue mizigo raia wao unakuta sehemu za vijijini maji ni tatizo kubwa wanayatoa sehemu za mbali na kupelekea kupoteza muda mwingi kwa ajiri ya foleni.
Maji ni muhimu sana kwa binadamu hivyo kupitia vyanzo tulivyo navyo vitusaidie upatikanaji rahisi wa maji kote nchini, kupitia kodi tunazo lipa serikali iwekeze nguvu nyingi katika hili.
Nihitimishe kwa kusema TANZANIA TUITAKAYO ni ile ya kumsikiliza mwananchi wa hali yoyote.
Bila shaka viongozi wamekuwa wakisikia changamoto ya maji karibia TANZANIA nzima, ama kwa hakika TANZANIA TUITAKAYO ni ile ya viongozi kuweza kupokea malalamiko ya wananchi wao na kuitatua kwa wakati.
Tunataka nchi nzima iwe na maji ya uhakika na sio maji yapatikane mijini tu na tena upatikanaji wake ni wa mgao, maji yakitoka jumamosi hadi jumanne ndio yatoke tena hiyo sio TANZANIA TUITAKAYO.
Viongozi husika wa watatue kero za wananchi kwa wakati, wawatue mizigo raia wao unakuta sehemu za vijijini maji ni tatizo kubwa wanayatoa sehemu za mbali na kupelekea kupoteza muda mwingi kwa ajiri ya foleni.
Maji ni muhimu sana kwa binadamu hivyo kupitia vyanzo tulivyo navyo vitusaidie upatikanaji rahisi wa maji kote nchini, kupitia kodi tunazo lipa serikali iwekeze nguvu nyingi katika hili.
Nihitimishe kwa kusema TANZANIA TUITAKAYO ni ile ya kumsikiliza mwananchi wa hali yoyote.
Upvote
1