Habari wakuu!
Katika Nchi zilizoendelea na zinazoendelea suala la utawala bora na uwajibikaji ni kipaumbele cha kwanza ambacho kinawezesha nchi kuleta matokeo chanya mfano kwa hapa Tanzania suala la utawala bora na uwajibikaji bado halina nafasi kubwa hivyo hupelekea baadhi ya maeneo ya kiutawala kutoleta matokeo mazuri haswa.
Kwa upande wa watendaji wa serikali wengi wanafanya kazi kimazoea, kisiasa au kwa kujuana inakuwa ngumu msomi aliyesomea masuala ya kiutawala kusimamiwa na mwanasiasa ambaye yeye anafanya kazi kwaajili ya wananchi wake ili apate kura ikiwa ni tofauti na mwenendo wa kiutawala (utaalamu) na hupelekea baadhi ya miradi kukwama au kufanyika bila ya usimamizi yakinifu Ushauri wangu kwa serikali iteuwe viongozi wenye taaluma katika fani husika ili wawe na maono sawa ili kutoa matokeo chanya.
Katika Nchi zilizoendelea na zinazoendelea suala la utawala bora na uwajibikaji ni kipaumbele cha kwanza ambacho kinawezesha nchi kuleta matokeo chanya mfano kwa hapa Tanzania suala la utawala bora na uwajibikaji bado halina nafasi kubwa hivyo hupelekea baadhi ya maeneo ya kiutawala kutoleta matokeo mazuri haswa.
Kwa upande wa watendaji wa serikali wengi wanafanya kazi kimazoea, kisiasa au kwa kujuana inakuwa ngumu msomi aliyesomea masuala ya kiutawala kusimamiwa na mwanasiasa ambaye yeye anafanya kazi kwaajili ya wananchi wake ili apate kura ikiwa ni tofauti na mwenendo wa kiutawala (utaalamu) na hupelekea baadhi ya miradi kukwama au kufanyika bila ya usimamizi yakinifu Ushauri wangu kwa serikali iteuwe viongozi wenye taaluma katika fani husika ili wawe na maono sawa ili kutoa matokeo chanya.