Enzi zile unaenda ofisini kuonana na afisa elimu au mkurugenzi unakuta wabeba mafaili wanakushikiniza uwaambie kwanza unataka kumwambia nini unaetaka kumuona na bila kuwambia hivyo viranja/wabeba faili unapewa jibu kuwa bosi hayupo bila kujali umbali na gharama za nauli, vumbi ulilokunywa na msongo wa mawazo uliyonayo.
Zama za JPM ni tofauti kabisa, nafahamu kipeleka barua kwa Mkuu wa idara yeyote ni lazima ataijibu tena kwa wakati na asipoijibu napanda ngazi/mamlaka iliyo juu yake tena bila kikwazo. Nikitaka kuonana na Mkuu wa idara husika sikutani na vikwazo kama enzi zile za wabeba mafaili kutaka niwaambie hitaji langu ndipo waniruhusu kuonana na bosi wao.
Zama za JPM utawala bora unaonekana kwa vitendo.
Zama za JPM ni tofauti kabisa, nafahamu kipeleka barua kwa Mkuu wa idara yeyote ni lazima ataijibu tena kwa wakati na asipoijibu napanda ngazi/mamlaka iliyo juu yake tena bila kikwazo. Nikitaka kuonana na Mkuu wa idara husika sikutani na vikwazo kama enzi zile za wabeba mafaili kutaka niwaambie hitaji langu ndipo waniruhusu kuonana na bosi wao.
Zama za JPM utawala bora unaonekana kwa vitendo.