Utawala wa Awamu ya 5 kulikuwa na kampeni ya wazi ya kutaka aliyekuwepo aongoze milele, Sababu hasa ya kampeni hii ilikuwa nini?

Utawala wa Awamu ya 5 kulikuwa na kampeni ya wazi ya kutaka aliyekuwepo aongoze milele, Sababu hasa ya kampeni hii ilikuwa nini?

Karibu sana mkuu , nadhani ulichelewa kidogo , hizi mada si za Chadema ni mada zangu kwa ajili ya mwezi wa 3 ambao ni mwezi wa Mungu , kutokana na " Kwaresma na Ramadhan " kukutana , lengo langu ni kuhakikisha haya mambo hayajirudii tena
Ukijivua u-CHADEMA nitakuelewa; lakini sijakusoma ukieleza kuwa ulisha chukua hatua hiyo.
Inatosha, hili liachie hapa.
 
Ukijivua u-CHADEMA nitakuelewa; lakini sijakusoma ukieleza kuwa ulisha chukua hatua hiyo.
Inatosha, hili liachie hapa.
Maana yake ni kwamba nyuzi 20 ndio nilizoziandaa kwa ajili ya kuelezea habari utawala wa awamu ya 5 , huu uliouona wewe ni wa 5 , kila siku nadondosha mmoja , ni katika ule mpango wa NEVER AND NEVER AGAIN , Leo kuna mwingine uko hewani na kuna nyingine 14 zishaandaliwa .

Mkianza kutuzuia kuandika uchafu wa awamu ya 5 angalau kwa mwezi huu mtakuwa hamtutendei haki , Shetani katenda uovu kwa miaka mingi sana iliyopita lakini bado mpaka leo anasemwa misikitini na makanisani , tena kwa kurudiwa rudiwa
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu.

Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa utawala wake kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania, yaani baada ya kumaliza utawala wake wa miaka 10, bado aongezewe miaka mingine isiyo na idadi.

Kampeni hii kabambe iliongozwa na kundi lisilo rasmi lililopachichwa jina la "Sukuma gang" na baadaye kuanza kuungwa Mkono hadharani na baadhi ya watu , na hatimaye likatua bungeni likiletwa na mbunge wa ccm Jimbo la Nkasi (zipo taarifa kwamba nyuma yake kulikuwa na kundi kubwa), Huku hoja yake ikiungwa mkono na Spika wa Bunge hilo Job Ndugai , na kwamba inasubiriwa muda ufike lipelekwe bungeni ili lijadiliwe na Katiba ya Nchi ibadilishwe.

View attachment 2938286

Hata baada ya Jambo hilo kupoa kidogo likaibuliwa tena na Mbunge wa Bahi Juma Nkamia , akisisitiza umuhimu wa kumuongezea John Magufuli muda wa uongozi , huku akisisitiza kwamba muhula wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyowekwa kwenye Katiba ya Nchi .

Wale wote waliopinga jambo hili walionekana Wasaliti na walishughulikiwa chini kwa chini na Wateule wa Rais kuanzia kwenye chama hadi serikalini , huku Wateuliwa wengi wakichekelea na kuvimba kwa kiburi wakijua watakuwa wateule milele (Hapa ndipo ilipoanzia sumu aliyolishwa Mangula)

Ushahidi wa wapinga milele kushughulikiwa ulikuja kuthibitishwa na Juma Nkamia mwenyewe , alipokiri hadharani kwamba Alilazimika kutamka kwamba Magufuli aongezewe muda ili kunusuru uanachama wake ndani ya ccm , kwamba kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama , na kwa vile mkubwa alifurahishwa na kauli ya Nkamia ya kumuongezea muda , Nkamia hakutimuliwa tena .

View attachment 2938287


Wakati haya yakiendelea , Viongozi karibu wote wastaafu walikuwepo huku wakinyamaza kimya as if hakuna uchafu unaopangwa , Wakuu wa vyombo vya dola wakiwa kimya ikiwa ni ishara ya kuunga mkono uharamia huo .

Sasa Swali letu ni hili , Waliokuwa wanafanya Kampeni hiyo haramu walichagizwa na nini hasa , Je ni Utendaji bora wa Magufuli na kwamba hakuna Mwanaccm mwingine angeweza kutenda kama Yeye , ama walichagizwa na Uroho wa madaraka ili waendelee kula miaka yote baada ya Rafiki yao kuwa madarakani milele ?

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Ndugu mpandisha uzi,"utasema kweli daima"ila ukiwa upande gani🤔
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu.

Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa utawala wake kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania, yaani baada ya kumaliza utawala wake wa miaka 10, bado aongezewe miaka mingine isiyo na idadi.

Kampeni hii kabambe iliongozwa na kundi lisilo rasmi lililopachichwa jina la "Sukuma gang" na baadaye kuanza kuungwa Mkono hadharani na baadhi ya watu , na hatimaye likatua bungeni likiletwa na mbunge wa ccm Jimbo la Nkasi (zipo taarifa kwamba nyuma yake kulikuwa na kundi kubwa), Huku hoja yake ikiungwa mkono na Spika wa Bunge hilo Job Ndugai , na kwamba inasubiriwa muda ufike lipelekwe bungeni ili lijadiliwe na Katiba ya Nchi ibadilishwe.

View attachment 2938286

Hata baada ya Jambo hilo kupoa kidogo likaibuliwa tena na Mbunge wa Bahi Juma Nkamia , akisisitiza umuhimu wa kumuongezea John Magufuli muda wa uongozi , huku akisisitiza kwamba muhula wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyowekwa kwenye Katiba ya Nchi .

Wale wote waliopinga jambo hili walionekana Wasaliti na walishughulikiwa chini kwa chini na Wateule wa Rais kuanzia kwenye chama hadi serikalini , huku Wateuliwa wengi wakichekelea na kuvimba kwa kiburi wakijua watakuwa wateule milele (Hapa ndipo ilipoanzia sumu aliyolishwa Mangula)

Ushahidi wa wapinga milele kushughulikiwa ulikuja kuthibitishwa na Juma Nkamia mwenyewe , alipokiri hadharani kwamba Alilazimika kutamka kwamba Magufuli aongezewe muda ili kunusuru uanachama wake ndani ya ccm , kwamba kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama , na kwa vile mkubwa alifurahishwa na kauli ya Nkamia ya kumuongezea muda , Nkamia hakutimuliwa tena .

View attachment 2938287


Wakati haya yakiendelea , Viongozi karibu wote wastaafu walikuwepo huku wakinyamaza kimya as if hakuna uchafu unaopangwa , Wakuu wa vyombo vya dola wakiwa kimya ikiwa ni ishara ya kuunga mkono uharamia huo .

Sasa Swali letu ni hili , Waliokuwa wanafanya Kampeni hiyo haramu walichagizwa na nini hasa , Je ni Utendaji bora wa Magufuli na kwamba hakuna Mwanaccm mwingine angeweza kutenda kama Yeye , ama walichagizwa na Uroho wa madaraka ili waendelee kula miaka yote baada ya Rafiki yao kuwa madarakani milele ?

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Alikuwa anataka amwige mwenyekiti
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu.

Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa utawala wake kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania, yaani baada ya kumaliza utawala wake wa miaka 10, bado aongezewe miaka mingine isiyo na idadi.

Kampeni hii kabambe iliongozwa na kundi lisilo rasmi lililopachichwa jina la "Sukuma gang" na baadaye kuanza kuungwa Mkono hadharani na baadhi ya watu , na hatimaye likatua bungeni likiletwa na mbunge wa ccm Jimbo la Nkasi (zipo taarifa kwamba nyuma yake kulikuwa na kundi kubwa), Huku hoja yake ikiungwa mkono na Spika wa Bunge hilo Job Ndugai , na kwamba inasubiriwa muda ufike lipelekwe bungeni ili lijadiliwe na Katiba ya Nchi ibadilishwe.

View attachment 2938286

Hata baada ya Jambo hilo kupoa kidogo likaibuliwa tena na Mbunge wa Bahi Juma Nkamia , akisisitiza umuhimu wa kumuongezea John Magufuli muda wa uongozi , huku akisisitiza kwamba muhula wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyowekwa kwenye Katiba ya Nchi .

Wale wote waliopinga jambo hili walionekana Wasaliti na walishughulikiwa chini kwa chini na Wateule wa Rais kuanzia kwenye chama hadi serikalini , huku Wateuliwa wengi wakichekelea na kuvimba kwa kiburi wakijua watakuwa wateule milele (Hapa ndipo ilipoanzia sumu aliyolishwa Mangula)

Ushahidi wa wapinga milele kushughulikiwa ulikuja kuthibitishwa na Juma Nkamia mwenyewe , alipokiri hadharani kwamba Alilazimika kutamka kwamba Magufuli aongezewe muda ili kunusuru uanachama wake ndani ya ccm , kwamba kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama , na kwa vile mkubwa alifurahishwa na kauli ya Nkamia ya kumuongezea muda , Nkamia hakutimuliwa tena .

View attachment 2938287


Wakati haya yakiendelea , Viongozi karibu wote wastaafu walikuwepo huku wakinyamaza kimya as if hakuna uchafu unaopangwa , Wakuu wa vyombo vya dola wakiwa kimya ikiwa ni ishara ya kuunga mkono uharamia huo .

Sasa Swali letu ni hili , Waliokuwa wanafanya Kampeni hiyo haramu walichagizwa na nini hasa , Je ni Utendaji bora wa Magufuli na kwamba hakuna Mwanaccm mwingine angeweza kutenda kama Yeye , ama walichagizwa na Uroho wa madaraka ili waendelee kula miaka yote baada ya Rafiki yao kuwa madarakani milele ?

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Tena kwa mujibu wa Gen.Mabeyo, mahasidi hao walitaka kumwongezea muda hata akiwa ameshavuta tayari, nashangaa inakuwaje Majaliwa ni Waziri Mkuu hadi leo
 
Labda Mkapa na Mwinyi walinga mkono.
JK sidhani.
Lakini watu hutamani kiongozi fulani aendelee kutokana na utendaji wake unavyowagusa.
Mifano ni mingi
China ()Xi Jinping) Ujerumani (Angela merkel) Chadema (Freeman Mbowe) n.k
Chadema Freeman Mbowe 😂😂😂
 
Mkianza kutuzuia kuandika uchafu wa awamu ya 5 angalau kwa mwezi huu mtakuwa hamtutendei haki , Shetani katenda uovu kwa miaka mingi sana iliyopita lakini bado mpaka leo anasemwa misikitini na makanisani , tena kwa kurudiwa rudiwa
Nilisema" inatosha" na nilitaka kuliacha hili lilale, lakini naona kwa maksudi kabisa unaamua kunivunjia heshima kwa mistari yako hii niliyo nukuu hapo juu, na hasa kipande cha mstari wa kwanza.
Kwa hiyo nami sasa niseme Erythro katekwa kwenye kundi la Mbowe? Hili ndilo tatizo la siasa za nchi hii; ni mara chache sana kukutana na mtu mwenye msimamo thabiti juu ya lolote lile lihusulo maslahi ya wananchi wetu. Kila mtu ana bei inayomtosha (na siyo lazima iwe bei ya pesa au mali).
Sitakujibu tena kwenye hili.

Nimekumbuka kitu, hasa kuhusu "shetani". Huo mstari wako wa "kanisani na misikitini" , na kwingineko, jaribu kuupa tafakuri zaidi. Kuna jambo unalokosa kulielewa vizuri.
Na kumbuka, shetani huja katika maumbo mabalimbali. Usishangae kuona kuna shetani wa kutisha sasa hivi kuliko uliyewahi kumshuhudia maishani mwako. Kumbuka, sina wajibu wa kumtetea shetani wa aina yoyote ile.
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu.

Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa utawala wake kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania, yaani baada ya kumaliza utawala wake wa miaka 10, bado aongezewe miaka mingine isiyo na idadi.

Kampeni hii kabambe iliongozwa na kundi lisilo rasmi lililopachichwa jina la "Sukuma gang" na baadaye kuanza kuungwa Mkono hadharani na baadhi ya watu , na hatimaye likatua bungeni likiletwa na mbunge wa ccm Jimbo la Nkasi (zipo taarifa kwamba nyuma yake kulikuwa na kundi kubwa), Huku hoja yake ikiungwa mkono na Spika wa Bunge hilo Job Ndugai , na kwamba inasubiriwa muda ufike lipelekwe bungeni ili lijadiliwe na Katiba ya Nchi ibadilishwe.

View attachment 2938286

Hata baada ya Jambo hilo kupoa kidogo likaibuliwa tena na Mbunge wa Bahi Juma Nkamia , akisisitiza umuhimu wa kumuongezea John Magufuli muda wa uongozi , huku akisisitiza kwamba muhula wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyowekwa kwenye Katiba ya Nchi .

Wale wote waliopinga jambo hili walionekana Wasaliti na walishughulikiwa chini kwa chini na Wateule wa Rais kuanzia kwenye chama hadi serikalini , huku Wateuliwa wengi wakichekelea na kuvimba kwa kiburi wakijua watakuwa wateule milele (Hapa ndipo ilipoanzia sumu aliyolishwa Mangula)

Ushahidi wa wapinga milele kushughulikiwa ulikuja kuthibitishwa na Juma Nkamia mwenyewe , alipokiri hadharani kwamba Alilazimika kutamka kwamba Magufuli aongezewe muda ili kunusuru uanachama wake ndani ya ccm , kwamba kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama , na kwa vile mkubwa alifurahishwa na kauli ya Nkamia ya kumuongezea muda , Nkamia hakutimuliwa tena .

View attachment 2938287


Wakati haya yakiendelea , Viongozi karibu wote wastaafu walikuwepo huku wakinyamaza kimya as if hakuna uchafu unaopangwa , Wakuu wa vyombo vya dola wakiwa kimya ikiwa ni ishara ya kuunga mkono uharamia huo .

Sasa Swali letu ni hili , Waliokuwa wanafanya Kampeni hiyo haramu walichagizwa na nini hasa , Je ni Utendaji bora wa Magufuli na kwamba hakuna Mwanaccm mwingine angeweza kutenda kama Yeye , ama walichagizwa na Uroho wa madaraka ili waendelee kula miaka yote baada ya Rafiki yao kuwa madarakani milele ?

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Tatizo letu ni kwamba siasa na uongozi tumefanya ni kama ngazi ya kuupata utajiri sio kuwa hizo ni kazi za wito tu !

Ndio maana utaona watu wengi wanataka uongozi wa juu ili tu wakajineemeshe !!
Nchi changa na zinazoitwa masikini zinatakiwa kwa sasa zitawaliwe na mtu mmoja kwa miaka mingi ili ziweze kupata maendeleo ya kweli kabisa !

Muhimu ni ni kwamba huyo mtu atakayetawala kwa muda mrefu awe ni muadilifu kweli kweli na awe anaogopewa pia na wateule wake kama alivyokuwa akiogopewa yule jamaa !!

Hii system ya demokrasia ya kubadili badili viongozi kila baada ya miaka mitano au kumi inazifaa nchi zilizokwisha kuendelea kwa miaka mingi na ina mifumo imara kabisa ya kuendesha Nchi !!

Kwetu sisi miaka kumi au mitano ya kuendesha Nchi ni michache sana kuweza kuleta maendeleo !

Sana sana watu watakuwa wakipiga na kujiandaa na uchaguzi mwingine ujao badala ya kuelekeza nguvu zote kwenye maendeleo ya Nchi !

Sina uhakika kama yule Mwamba alikuwa alikuwa ana sifa hizo ila Angalau alionyesha kwamba mtu mkubwa pale juu akiamua Nchi iendelee kwa haraka ni kitu kinawezekana kabisa !
Sauti ya kimamlaka ni muhimu katika hizi Nchi zetu masikini !
Japo ukiwa hivyo utaitwa Dikiteta !
Demokrasia iliyoletwa na Wazungu lengo lao ni moja tu ni kuwacontrol wale viongozi waliopo madarakani ili wafuate wanavyotaka wao katika kukwapua rasilmali za Nchi kwa kiini macho cha uwekezaji !!
Madini yote kwaheri ! Gesi yote kwaheri !
Tafakari 🙏🙏🙏 !
 
Yani sugu katika kitu ambacho kinakuuma ni kushindwa uchaguzi 2020 na Dr Tulia wakati kiuhalisia hukuwahi kuifanyia chochote cha maana Mbeya.

Punguza chuki kwa JPM haitakusaidia kitu sana sana utapata mikosi tu na bungeni urudi ng'o hilo kaa ulijue
 
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu.

Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa utawala wake kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania, yaani baada ya kumaliza utawala wake wa miaka 10, bado aongezewe miaka mingine isiyo na idadi.

Kampeni hii kabambe iliongozwa na kundi lisilo rasmi lililopachichwa jina la "Sukuma gang" na baadaye kuanza kuungwa Mkono hadharani na baadhi ya watu , na hatimaye likatua bungeni likiletwa na mbunge wa ccm Jimbo la Nkasi (zipo taarifa kwamba nyuma yake kulikuwa na kundi kubwa), Huku hoja yake ikiungwa mkono na Spika wa Bunge hilo Job Ndugai , na kwamba inasubiriwa muda ufike lipelekwe bungeni ili lijadiliwe na Katiba ya Nchi ibadilishwe.

View attachment 2938286

Hata baada ya Jambo hilo kupoa kidogo likaibuliwa tena na Mbunge wa Bahi Juma Nkamia , akisisitiza umuhimu wa kumuongezea John Magufuli muda wa uongozi , huku akisisitiza kwamba muhula wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyowekwa kwenye Katiba ya Nchi .

Wale wote waliopinga jambo hili walionekana Wasaliti na walishughulikiwa chini kwa chini na Wateule wa Rais kuanzia kwenye chama hadi serikalini , huku Wateuliwa wengi wakichekelea na kuvimba kwa kiburi wakijua watakuwa wateule milele (Hapa ndipo ilipoanzia sumu aliyolishwa Mangula)

Ushahidi wa wapinga milele kushughulikiwa ulikuja kuthibitishwa na Juma Nkamia mwenyewe , alipokiri hadharani kwamba Alilazimika kutamka kwamba Magufuli aongezewe muda ili kunusuru uanachama wake ndani ya ccm , kwamba kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama , na kwa vile mkubwa alifurahishwa na kauli ya Nkamia ya kumuongezea muda , Nkamia hakutimuliwa tena .

View attachment 2938287


Wakati haya yakiendelea , Viongozi karibu wote wastaafu walikuwepo huku wakinyamaza kimya as if hakuna uchafu unaopangwa , Wakuu wa vyombo vya dola wakiwa kimya ikiwa ni ishara ya kuunga mkono uharamia huo .

Sasa Swali letu ni hili , Waliokuwa wanafanya Kampeni hiyo haramu walichagizwa na nini hasa , Je ni Utendaji bora wa Magufuli na kwamba hakuna Mwanaccm mwingine angeweza kutenda kama Yeye , ama walichagizwa na Uroho wa madaraka ili waendelee kula miaka yote baada ya Rafiki yao kuwa madarakani milele ?

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
WANUFAIKA NA MAGUFULI WALITAKA WAENDELEE KUNUFAIKA NA MAGUFULI MWENYEWE ALIPOGUNDUA KUWA WATANZANIA NI WAJINGA AKATAMAANI ATAWALE MILELE
 
Back
Top Bottom