Utawala wa Magufuli ulikuwa Msiba uliokosa Matanga

Utawala wa Magufuli ulikuwa Msiba uliokosa Matanga

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa fisadi kubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
IMG_20230402_161542_174.jpg

 
Ndege ya mizigo ipo njiani, ngoja tuone km mtakusanywa au mtajikusanya...maana nyie nao kwa kujipendekeza mpo vzuri.
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Yaani..LITOTO LA HARAMU NILITOTO LA HARAMU TU...
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Kama hasara ikiweza kupungua kutoka 113.8b Hadi 36.2b huoni kwamba tulikuwa tunaelekea kupata faida
 
imetosha sasa, mnaonaje tukaanza kuwaza ya mbele kwa maslah mapana ya taifa. Tuachane na hz soga zilizopitwa na wakati.
 
Ndege ya mizigo ipo njiani, ngoja tuone km mtakusanywa au mtajikusanya...maana nyie nao kwa kujipendekeza mpo vzuri.
Je hiyo Bei ya ndege hii wameshakubaliana au basi imelipwa hiyo hiyo inayodaiwa imewekewa cha juu Tena mara 2 ya makubaliano.
Usishangae wakamezea na zishalipwa na wahusika wapi wanaendelea kutesa!!

Acha kucheka na nyani utavuna makapi!!
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
We hujui nchi alipoitoa magufuli. Ni Magufuli ndio kaileta nchi kwenye mwanga hadi watawala wa sasa wanahaha tu.

Ukipita mabarabarani ni mabango tu. Mara mama kafanya hivi, mara kafanya vile. Wakati hakuna lolote.
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Jifunze kutoa povu Kwanza. Huelewiki
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Kiongozi wa washikishwa ukuta na mshikishwa ukuta mkuu. Mwakyembe ana faili lako. Hameni tu hii nchi.
 
Tushawajua baada ya Kigogo kugombana Makamba kumbe mnalipwa kutukana Magufuli
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Mtu kashakufa lkn kutwa kumuongelea mzimu wake unawatesa sana.
 
Aisee, huyo marehemu kajiondokea mnapata raha gani kumuongelea kila kutwa?
Naskitika sana na hiyo mambo.
Mbona mna rais mwingine Kabisa na analalamika?
Wewe utakufa pia na utaonana nae huko kuzimu.
Hizi kashfa zako utaulizwa,
Kumbuka ana mke , watoto, familia wanakusoma hapa.
Muacheni mzee wa watu apumzike.
Au ukitaka kamfukue muweke kwenye kiti umseme mpk hasira zako ziishe.
Ikiwezekana mle Nyama
Ghana inafanyika hiyo.
Nyie watu wa ajabu sana
 
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa lifisadi likubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
Hao wakazi wa Mwanza wabomolewe tu bila sababu? Mbona upanuzi wa barabara ulikuwa unafanyika mbona nyumba na maghorofa yalibomolewa? Punguza chuki binafsi basi Mwanza tungepewa huo mradi kama wa kimara, wewe ni mpymbavu na utakufa kwa chuki zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom