figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa fisadi kubwa.
Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.
Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.
Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.
ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.
Mungu ni fundi
Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.
Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.
Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.
ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.
Mungu ni fundi