Utawala wa Magufuli ulikuwa Msiba uliokosa Matanga

Utawala wa Magufuli ulikuwa Msiba uliokosa Matanga

Nchi ilikuwa Gizani, Wajinga hadi leo wanaamni Magufuli hakuwa fisadi kubwa.

Tunafiwa sisi Msiba kwake. Kazi tulifanya sisi kazi Mshahara Watu wa Geita.

Kimara wanabomolewa nyimba, lakini Wasukuma wa Mwanza akadai walimpigia Kura Wasibomolewe.

Mafisadi akasema ni Wahujumu uchumi, akataka wampe Rushwa ili awaachie.

ATCL kila siku inapata hasara anadanganya wanapata faida. Wafanyakazi wa Serikali wote tukawa tunakusanywa pale Kipawa kupokea ndege.

Mungu ni fundi
View attachment 2574112
View attachment 2574279
Makamba na Nape wapo kazini
 
Hakuna Rais aliyekuwa anapenda show off kama Magu kila siku alitaka atangazwe mpaka TBC ikapungukiwa watazamaji.Kama mnasema Mh Samia anapenda kujitangaza mwanzilishi wa utamaduni huo ni Mzilankende alipenda sana kamera
Tunaambiwa pia alikuwa anawala sana watumishi wake na wake za watu, hilo nalo Samia ataendeleza?
 
Back
Top Bottom