Utawala wa Rais Samia tuupime kwa vigezo sawia

Utawala wa Rais Samia tuupime kwa vigezo sawia

Dah, hii Nchi hata ashushwe Malaika aje kutuongoza bado tutalaumu tu,mama ana siku mia tayari hafai,
Ndiomaana Mungu alimleta dikteta Ngosha atunyooshe, Sasa akiondoka mama naomba mungu Ndugai achukue madaraka mlimie meno aisee
Sidhani kuna mtu amesema kuwa Rais Samia ni mbaya. Kwa asili yake anaonekana ni mtu anayependa haki, na nina hakika angefurahi kila mmoja atoe mchango wake wa kulijenga Taifa hili akiwa na furaha na amani moyoni mwake.

Tunachomkumbusha ni kuwa hayo mema anayoyataka ayajengee utaratibu wa kuyalinda ili yawe sehemu ya tunu za Taifa letu. Hakuna namna ya kuyalinda zaidi ya kuyalinda kwa nguvu za katiba na sheria.
 
Nimeshangazwa na rais kuwapa nafasi watu amabo anajua walinunuliwa na Magufuli kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kisiasa na si chama. Maa ameonyesha upungufu mkubwa sana wa kiuongozi kureward usaliti na umamluki katika siasa. Hii tabia ya kureward sellouts haitaishia katika nafasi hizi za Ukuu wa wilaya bali inachochea watu hata kuuza nchi kwa maslahi ya fedha au hata recognition.

Sijui kama rais ametambua kuwa hiki alichokifanya hakina afya kwa Taifa
 
Kwa haraka haraka hapa naona kama unasaka ushindi kwenye hoja hii. Kama ni ushindi unasaka, basi naweza kusema umenishinda.

Kimsingi hakuna mtu yoyote anayesubiri analysis yangu, na wala hiyo analysis ya siku 100 haizuii mtu yoyote kukosoa. Naona unalazimisha kufanya hiyo analysis kuwa ni Katazo la ww au yoyote kukosoa. Isitoshe mpaka sasa watu wanakosoa, labda huoni post hizo za kukosoa. Na hiyo unayosema katiba mpya inadaiwa toka 1992 enzi za mfumo wa chama kimoja kuingia vyama vingi, ila kuna wakati nguvu ilikuwa kubwa, na kuna wakati inashuka. Hivyo kama ni kukosoa ww kosoa tu, na kama ni katiba mpya ww idai tu maana hakuna Katazo hilo. Imeisha hiyo.
Kumbe kuna mashindano huku!.
 
Nimeshangazwa na rais kuwapa nafasi watu amabo anajua walinunuliwa na Magufuli kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kisiasa na si chama. Maa ameonyesha upungufu mkubwa sana wa kiuongozi kureward usaliti na umamluki katika siasa. Hii tabia ya kureward sellouts haitaishia katika nafasi hizi za Ukuu wa wilaya bali inachochea watu hata kuuza nchi kwa maslahi ya fedha au hata recognition.

Sijui kama rais ametambua kuwa hiki alichokifanya hakina afya kwa Taifa

Huyo mama hana jinsi, hizo ni baadhi ya mbinu za ccm kuendelea kubaki madarakani. mbinu ya kununua wapinzani ni ili kuhadaa umma kuwa ccm ni chama bora, ndio maana hata wapinzani wanahamia ccm. Na hao wapinzani wanapotoka huko upinzani hupewa masharti ya kuuchafua upinzani ili wananchi wapoteze imani na upinzani.
 
Huyo mama hana jinsi, hizo ni baadhi ya mbinu za ccm kuendelea kubaki madarakani. mbinu ya kununua wapinzani ni ili kuhadaa umma kuwa ccm ni chama bora, ndio maana hata wapinzani wanahamia ccm. Na hao wapinzani wanapotoka huko upinzani hupewa masharti ya kuuchafua upinzani ili wananchi wapoteze imani na upinzani.
Kama anategemea kununua wapinzani ili chama chake kidhoofishe upinzani, basi inamaana yuko tayari kuvumilia ufisadi iwapo akiugusa chama chake kitayumba.

Kwa uteuzi wa akina Nassari rais katuangysha sana, yaani anareward tabia mbaya hivihivi!
 
Kama anategemea kununua wapinzani ili chama chake kidhoofishe upinzani, basi inamaana yuko tayari kuvumilia ufisadi iwapo akiugusa chama chake kitayumba.

Kwa uteuzi wa akina Nassari rais katuangysha sana, yaani anareward tabia mbaya hivihivi!

Mkuu avumilie ufisadi mara 2? Ripoti ya BoT umesikia ikiwekwa hadharani?
 
Siku 100 ni standard, sio lazima ziwe kapimo cha kila mtu. Ndani ya siku 100 sio kipimo, bali ni kutoa mwenendo halisi wa utawala wake kwa ujumla, kwa kuangalia mwanzo wake. Ama huo utawala wake ni eneo moja tu la katiba mpya?
Huyu mwelekeo wake ni kuteua basi
 
Back
Top Bottom