Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

Unesi (nursing), ukunga (midwifery) na harakati zako za udini wapi na wapi, chagua moja, hayo mambo hayaingiliani katu
 
Harakati za dini ndiyo kitu gani. Mtashughulikwa km mnaleta kiherehere cha kidini kujifanya mnajua dini kuliko waarabu wenyewe walioleta hiyo dini. Nafikiri atakuwa anafinywa ili atoe siri hamchelewi kuleta boko haramu hapa kwetu. Ila mjue vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viko imara sana
 
Huyo Imamu namfahamu ana mahubiri makali saana dhidi ya watu wasio waislamu tena anahubiri kwenye kipaza saut kuhusu ku dili na makafiri (hasa wakatoliki) vipi ile nyumba yake ya kule juu kuelekea msala wale vijana hua anawafundisha nn
Anawafundisha Quran tu
 
Je gari hakuna aliye note number au wote wanaogopa kutaja
 
Tutambue viongozi wa dini ndio chanzo cha uwepo wa Amani na Pia uvunjifu. wa Amani katik Nchi kutokana na mafunzo na maelekezo watoayo huingia moja kwa moja kweny mioyo ya Waumini wao. Hivyo kwa ushauri Kama ni serikali ndio imemchukua ni vyema ikatoa taarifa na hata kumpeleka mahakamani kama akikutwa na Hatia. na pia kama Jeshi la polisi sio wahusika wa hili basi watoe ushirikiano wa kutosha kutosha wa kumtafuta. NB; ILI KUONDOA SINTOFAHAMU KWA RAIA NA WAUMINI WAKE PIA KUDUMISHA IMANI JUU YA JESHI LETU.
 
Kwahiyo wanafikiri aliyekalia kiti akiwa Muislamu mwenzao basi wana uhalali wa kufanya watakayo hata kama linatishia amani ya nchi?
Huwezi kukuta huu ujinga makanisani lakini upande wa kobazi huamini /hushabikia sana chokochoko na misikiti ya aina hii ipo dar na inajulikana na vibwagizo vyao vya takbiir,allah akbar hivi allah(asiyefananishwa)kwa kauli hizi ashafananishwa tayari.
 

Subiri tu, wanataka kulianzisha kama wale makafiri wa ant balaka sio! Watajuta, wamwachie haraka kabla hatujaamua jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…