Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

Maisha Yako magumu usiyafanye kuwa hoja ya kuleta uchochezi wa kidini.

Huku sio Mali au burma, fanyeni mfanyavyo ila mtakipata mnachokitaka, taifa hili asilimia kubwa ni waislamu,

So, kama na wewe ni mmoja wa watekaji basi mwachieni haraka, otherwise mnatangaza vita na waislamu

Nimemaliza!
 
Uzuri wa geita na watu wake ukiwakosea watakutafuta popote ulipo ulipie makosa yako. Hapo hakuna udini bali huyo kuna jambo kafanya
Kwahiyo tu mawakubali. Kuna mtu alichinjwa mbele ya mke wake huko Kilwa inasemekana mshikaji Kuna watu aliwapiga mpunga kutoka huko miaka ya nyumba hivyo walikuwa wanamsaka
 
Huku sio Mali au burma, fanyeni mfanyavyo ila mtakipata mnachokitaka, taifa hili asilimia kubwa ni waislamu,

So, kama na wewe ni mmoja wa watekaji basi mwachieni haraka, otherwise mnatangaza vita na waislamu

Nimemaliza!
• Dahh, we jamaa una akili finyu sana.......
• Wachochezi kama hao, ni kuwapoteza tuhh, hakuna kupoteza mda. 🗡️
 
Usije kuwa ndio huyo ninaemzungumzia
 
Sema ukweli ni harakati gani alikua anapambania maana kama ni harakati za dini tunaona wakiristo wengi sana sokoni, stendi, kwenye mabasi wakipambania harakati za dini kwa kuhubiri lakini hatujawahi sikia wametekewa.
 
Safi kama alikuwa anatoa mafunzo ya imani kali apigwe chuma ya kichwa tu...ukicheza na wagu wa imani kali utavuna mabua hao kamata piga vyuma wakiwa wengi hao nchi haikaliki

Kama mambo mengine mahakama zipo
 
Mkuu,
Harakati zipi hasa za kidini?
Unaweza toa au kutaja Idadi ya hao wanaharakati waliowahi kamatwa hapo Geita?
Kukamatwa kwake unauhakika gani kuwa ni suala la kidini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…