To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
YeahHilo nalo litapita
Ila kwa kuumia sanaš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahHilo nalo litapita
Ila kwa kuumia sanaš¤
Hata wewe Sappire ukiwemo.Yote haya yamesababishwa na wtz kuwa waoga wa kudai haki zao.
25 au 26Kwa anaepata 28 je
bado unalamba viatu mrangi wakati unajulishwa jambo la maana kuhusu utekelezaji wa bajeti mpya ya 2024/25š
Sisi ni ngumu sababu mtu akibanwa anasaidiwa na ndugu mpaka mtu aone hakuna pakujishika ndio akili itukae sawaAiseeh Hali sio nzuuli tuendako sjui itakuaje?
Leo ndio mine gundua kwanini watanzania Hawa pendi kuandamana
kumbe huwezi kuandamana na nyumbani hakuna chakula so wanaona ni Bora wakatafute chakula
wakati huku chadema wana andamana kutetea haki zao
nahapo ndipo wanapo kosea kwani viongozi wao ndipo wanapo anzia kuwaona nima zuzu
Hivi Hawa watu wa government wanafahamu kwamba watanzania kalibia 70% hawaja jenga na wame panga?
Nahizo Kodi za mijengo wanazilipa wapangaji kupita luku/kununua umeme?
Najiuliza wakenya waliludije nyuma wakati walifikia hatua nzuli Kama ile?
Hope tanzanians they can't do the same when the day has come
Mara ya mwisho kununua umeme lini? Kabla ya leoCost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 11:07
Mie nimekatwa 6k sijawaelewa kabisa
Yana mwisho
Au tugome tusitumie pesaHeri ya mwaka mpya wa kiserikali, utekelezaji wa bajeti mpya umeanza.
Badiliko la kwanza kwenye kodi ya pango toka 1,500 hadi 2,000 tuendelee kujuzana bidhaa mbalimbali na bei zake mpya.
Umeme wa 10k makato zaidi ya 3,000, acha tunyooshwe tu
Ref: EC1022156...
Cost 6,557.38
VAT 18% 1,180.33
EWURA 1% 65.57
REA 3% 196.72
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 10,000.00
2024-07-01 07:08:40
Kumbuka ilianza 1000 ikaja 1500 hii 2000 imeanza leoMara ya mwisho kununua umeme lini? Kabla ya leo
Yaani kama hujafanya miamala kwa miezi mitatu labda ndio wamekata chao juu kwa juu, yaani ni lazima kila mwezi uwape 2000 umenunua umeme au hukununua, na hii ndio maana halisi ya tozo
Ni ngumu sasa tutaishi gizaniAu tugome tusitumie pesa
Pole mkuuCost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 11:07
Mie nimekatwa 6k sijawaelewa kabisa
Yaani leo ikiingia kama ulikua unadaiwa buku ya mwezi jana basi automatic inakuwa buku mbili, kanuni inasema hivyo na ikipungua deni litabaki palepaleKumbuka ilianza 1000 ikaja 1500 hii 2000 imeanza leo
Mwezi jana umeme umenunulikaYaani leo ikiingia kama ulikua unadaiwa buku ya mwezi jana basi automatic inakuwa buku mbili, kanuni inasema hivyo na ikipungua deni litabaki palepale
Kama hukununua ile rate ya mwezi iliopita itasoma kwa rate mpya, yaani mwezi uliopita kama hukunua umeme basi 1500 inageuka kuwa 2000 na 2000 ya mwezi huu unaonunua inakuwa jumla 4000 badala ta 3500Mwezi jana umeme umenunulika
Mgomo lazima uwe na madhara ila kwa muda wewe huoni wakenya wamekufa wewe waogopa gizaNi ngumu sasa tutaishi gizani