Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AahaaaaChura kiziwi ni mzigo kwa hii nchi.
Akija Rais mwingine mwenye akili atapata shida sana kurejesha nchi kwenye mstari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaChura kiziwi ni mzigo kwa hii nchi.
Akija Rais mwingine mwenye akili atapata shida sana kurejesha nchi kwenye mstari
Hapa production cost ishaongezekaHeri ya mwaka mpya wa kiserikali, utekelezaji wa bajeti mpya umeanza.
Badiliko la kwanza kwenye kodi ya pango toka 1,500 hadi 2,000 tuendelee kujuzana bidhaa mbalimbali na bei zake mpya.
Umeme wa 10k makato zaidi ya 3,000, acha tunyooshwe tu
Ref: EC1022156...
Cost 6,557.38
VAT 18% 1,180.33
EWURA 1% 65.57
REA 3% 196.72
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 10,000.00
2024-07-01 07:08:40
Labda walikuwa wanakudai miezi 2 yaani ulinunua umeme wa kutosha miezi 2 pamoja na huu wa 7 itakuwa miezi3 jumla Ndiyo hiyo bk 6Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 11:07
Mie nimekatwa 6k sijawaelewa kabisa
Afya ya akili inatusimbua wengiHalafu huyu Mchungaji Msigwa anasema atazunguka nchi nzima kusema ubaya wa CDM hivi kuna ubaya zaidi ya huu wa kumdidimiza mwananchi!?
Unahamasisha watu waache matumizi ya mikaa kwa maneno ila kwa vitendo unawatwika tozo kubwa kwenye umeme ili wasiutumie warudi kwenye mkaa hizi akili anazo waziri wa fedha tz tu anayeufanya umeme uwe anasa