Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri huyo amesema kuwa Wizara ilifikia hatua ya kufanya mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na kuboresha Mitaala baada ya watanzania kulalamika juu ya elimu inayotolewa na namna inavyomuandaa mwanafunzi kuingia kwenye ulimwengu wa ajira na ndipo Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa maelekezo ya kufanya mapitio hayo.