Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Ndiyo Mkuu Na Dawa Tutanywea Kizimkazi, Bwejuu, Paje Kwa FoleniAcha kwanza tuijenge Zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Mkuu Na Dawa Tutanywea Kizimkazi, Bwejuu, Paje Kwa FoleniAcha kwanza tuijenge Zanzibar
Nakumbuka..ila Taifa stars ilishawahi kupewa mil 700. Pesa zipo banaLile bakuli la juzi juzi hapa kuchangia sijui timu kwenda kucheza nini mashindano Afrika umesahau?
Sasa hizo 700 zimetoka kwenye bakuli ulikua hujui?Nakumbuka..ila Taifa stars ilishawahi kupewa mil 700. Pesa zipo bana
Ah kumbe...sa mbona alishukuriwa mama mi nilidhani katoa mfukoni mwakeSasa hizo 700 zimetoka kwenye bakuli ulikua hujui?
Hahaha.Lugha za mahayawani hizi
Ndio maana Trump kachukia kuleAh kumbe...sa mbona alishukuriwa mama mi nilidhani katoa mfukoni mwake
Tutumie vizuri raslimali zetu huu utegemezi unatudumaza akili, Africa tunatakiwa Sasa tuamke, tena tumshukuru sana Trump na Namuombea mitano mingine ili akili zetu zikae sawa.Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.
View attachment 3217544
Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.
ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.
Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.
Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.
Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.
Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?
Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?
Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Uamke na nani wewe unapigwa na vumbi jua linakuchoma hapo unauza biashara yako na kiredio chako kuvuta wateja makelele mfululizo wenzio wanapita na viyoyozi full tinted kwenye V8 halafu unasema tuamke amka mwenyewe wenzio walishaamka ulipolala wewe bado umelalaTutumie vizuri raslimali zetu huu utegemezi unatudumaza akili, Africa tunatakiwa Sasa tuamke, tena tumshukuru sana Trump na Namuombea mitano mingine ili akili zetu zikae sawa.
Atoke aseme kitu gani cha maana huyo ajuza ambaye kutwa nzima na kujifungia ndani kijipodoa tu utadhani atarudi kuwa binti kama Mange Kimambi?Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.
Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.
Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.
Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.
Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?
Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?
Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.
Inshallah.
Watu washalimwa barua mkuu ..wanazo mkononi za likizo ya bila malipoNmeona taarifa kwamba mahakama imezuia agizo hili kutekelezwa kwa sasa
Huna unacho jua zaidi ya uchawaaTanzania haitegemei dawa 80% Kwa USAid
Nimekumbuka hii hotuba tulivyowafokea mabeberu kwamba hatupangiwi
View: https://youtu.be/546QGdZj72A?si=qYo9QHdam5yHgeZr