zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Gesi ya mtwara ilishauzwa kitambo sasa hivi wanaendelea kujipimia tu, tunaambiana nishati safi kisha gesi tunauziana bei juu na gesi tunayo pale imelala tumeiuza nje kwa sababu tumepoteza akili kichwaniKule Mwadui tumeachiwa mashimo tu kwa sasa.
Wakimaliza DP wanaangalia maini mengine