Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli tuna resources ila watawala hawana akiliTanzania ni tajiri ~~~ Hayati Magufuli
effectivelly misaada itakoma lini? Labda serikali ina stock ya kutosha huko MSD mpaka tramp atakapoamua kurejesha misaada tenaTumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.
Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.
Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.
Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.
Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?
Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?
Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.
Inshallah.
Kauli km hizi ndio zimefanya Trump apige komeo sasa ngoja aminye km mwaka hivi mtakapotokea na kuja kujilizaliza humu unajua kuna mijitu mingine kichwani sifuri, kwa hio 80% inatolewa na nani MsD au sio?Tanzania haitegemei dawa 80% Kwa USAid
Unaleta Taarabu za kifala kwa Trump...... Uliza Kenya wamejipangaje! ... Tanzania mambo yanaenda kuwa poa sana, tuna vigezo vya kukopa na World bank wanalitambua hilo!
BONGO HAS A CLEARANCE TO SMOOTH TRANSITION!
SAGA CHUPA UMEZE! 😅
Poa 🤣, ila unajua gharama za ARVs kwa mwaka ni how much ? Achilia hayo maeneo mengine…… just ARVs!... Uliza Kenya wamejipangaje! ... Tanzania mambo yanaenda kuwa poa sana, tuna vigezo vya kukopa na World bank wanalitambua hilo!
BONGO HAS A CLEARANCE TO SMOOTH TRANSITION!
SAGA CHUPA UMEZE! 😅
Mabeberu..(In JPM's voice)Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.
Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.
Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.
Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.
Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?
Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?
Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.
Inshallah.
Ndio viongozi wako wanachotaka hicho ili waabudiweSipo huku. Hata bible inatumia neno We , kwani mungu wapo wengi 🤣!
Anyway watanzania wa hali ya chini watataabika
TUTAVUKA!Poa 🤣, ila unajua gharama za ARVs kwa mwaka ni how much ? Achilia hayo maeneo mengine…… just ARVs!
Kijana mtauza nchi kwa mikopo, mtakuwa hamkopesheki tena
Kuna mtaalamu ameeleza vizuri sana kuhusu jambo hilo leo asubuhi BBC SIKILIZA HAPATumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.
Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.
Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.
Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.
Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?
Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?
Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.
Inshallah.
AsanteKuna mtaalamu ameeleza vizuri sana kuhusu jambo hilo leo asubuhi BBC SIKILIZA HAPA
UVCCM 🤣. Kuna ndugu yangu anacheo kikubwa hapo UVCCM , huwa namtania…… endelezeni uchawa vijana, uzuri tunabomoa nyumba ambayo wote tupo ndani yakeKWENDA NJE HAKUNA TUTAFIA WOTE HUMU, NA YALE MAJINGAMAJINGA YA MITANO TENA.
Lugha za mahayawani hiziKwani Serikali ndo ilikupa Ukimwi?
Serikali ndo imekupa malaria?
In you know who voice.