Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

Utekelezwaji wa agizo la Trump; Je, Rais Samia amejipangaje ?

Nafikiri Trump anataka Wafundisha Marais wa Africa waache ufisadi.. Trump ana taarifa zote za Billions of Dollars viongozi Africa. ..wanazoogelea nazo huko mabenki ya Ulaya.

Now it's Time. Tutajua ukweli
 
Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.

Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.

Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.

Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.

Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?

Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?

Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.

Inshallah.
effectivelly misaada itakoma lini? Labda serikali ina stock ya kutosha huko MSD mpaka tramp atakapoamua kurejesha misaada tena
 
... Uliza Kenya wamejipangaje! ... Tanzania mambo yanaenda kuwa poa sana, tuna vigezo vya kukopa na World bank wanalitambua hilo!
BONGO HAS A CLEARANCE TO SMOOTH TRANSITION!

SAGA CHUPA UMEZE! 😅
Poa 🤣, ila unajua gharama za ARVs kwa mwaka ni how much ? Achilia hayo maeneo mengine…… just ARVs!

Kijana mtauza nchi kwa mikopo, mtakuwa hamkopesheki tena
 
Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.

Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.

Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.

Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.

Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?

Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?

Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.

Inshallah.
Mabeberu..(In JPM's voice)
 
Tumesikia Trump amekata misaada ya madawa na ya kiafya kwa nchi kadhaa, Tanzania tumo orodhani.

Mpaka sasa sio rais, sio waziri wa afya wala sio chama tawala kilichotoka hadharani kuelezea nini mpango wa serikali katika kuwalinda watu wake.

Wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ukimwi ni wengi, hawajui hitma yao.

Magonjwa ya malaria ndio yameshamiri Uswahilini. Usipokuwa na U.T.I basi huchomoki kwenye malaria. Watoto ndio the most victims, hatari sana.

Magonjwa wa kifua kikuu wanaongezeka kila uchao, ni Nani wa kuliokoa taifa?

Je ni Babu wa Samunge, Ambilikile Mwasapile? Au ni Dr. Ndondi ndio tegemeo la taifa? Au tutaokolewa na Ngoka Eleven?

Kwanini serikali imemua kukaa kimya? Mama toka hadharani, kauli yako iondoe taharuki. Kukaa kimya sio jawabu.

Inshallah.
Kuna mtaalamu ameeleza vizuri sana kuhusu jambo hilo leo asubuhi BBC SIKILIZA HAPA
 
Back
Top Bottom