Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... ulikuwa na UPANDE!Unaleta Taarabu za kifala kwa Trump...
Acheni UFISADI.. Be Africans..
hilo ndo somo...
wakati huohuo abdul anagawa pesa, kumbe sisi sio maskin kihiiivyo.Acha kwanza tuijenge Zanzibar
Ndio serikali ijitokeze iwatoe watu hofueffectivelly misaada itakoma lini? Labda serikali ina stock ya kutosha huko MSD mpaka tramp atakapoamua kurejesha misaada tena
Kwani kuna ajira gani sasa hivi?Kama nikweli mbona kama ajira za watu zitakuwa matatani wooooi..
Haiwezi hata China hawezi kufanya km MarekaniRussia inaweza ikaingia mzigoni Ili kupata uungwaji mkono na kuwa super poweu!
challenge kama hizi ni kipimo sahihi sana kwa taifa lenye viongozi wenye wanaimbwa na kusifiwa wka weledi. ni wakati sasa tuone ukuu wao katika kupigania maslahi ya watu wao. thegood thing is nchi inazo resource nyingi, ila kama kweli wameuza basi itafahamika...ngoja kwanza tuanze kuzikana kama kumbikumbi ndo tutajua kama yaliyomo yamo kweli au la.Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.
View attachment 3217544
Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.
ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.
Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.
Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.
Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.
Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?
Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?
Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Endelea kukuza maherufi ka zoba... ulikuwa na UPANDE!
POLE KWA MAKASIRIKO, ... huwa yanapunguza ukali wa ngumi! (HOJA)!
Huyo chawa hujamuelewa vizuri huyo ni ndio ndio ndio tu hanaga hapana kwenye mambo ya chama cha mboga mbogaChoiceVariable ukweli ni upi? Fact hupingwa kwa fact, sio kwa kauli rahisi isiyo na staha kwa kumuita mtoa mada kwamba ni muongo. Hebu tupe ukweli ambao mtoa mada hajatupa
Kule Mwadui tumeachiwa mashimo tu kwa sasa.challenge kama hizi ni kipimo sahihi sana kwa taifa lenye viongozi wenye wanaimbwa na kusifiwa wka weledi. ni wakati sasa tuone ukuu wao katika kupigania maslahi ya watu wao. thegood thing is nchi inazo resource nyingi, ila kama kweli wameuza basi itafahamika...ngoja kwanza tuanze kuzikana kama kumbikumbi ndo tutajua kama yaliyomo yamo kweli au la.
Chawa mwandamizi huyoEndelea kuota,
Lete iliyokweli ya kwako
una miwani mzee mwenzangu? ... mi huwa najaribu kuokoa macho yako ili usizidi kubadilishiwa lenzi kila mwaka!Endelea kukuza maherufi ka zoba
😅Kuna nilikua nabishana na wapuuzi fulani nikamwambia waafrica sisi bado sana kujitegemea vitu vingi tunawategemea wazungu wakawa wanabisha ohooo tuna rasilimali nyingi hatuwez kuwategemea wao tena nakumbuka niliwatolea mfano huu huu kuhusu ARV nikamwambia hizo dawa tunapewa msaada wakisema kila mtu anunue watu hawataweza haya sasa Trump hyo kachezesha kidogo watu wanaanza kulia liaSerikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.
View attachment 3217544
Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.
ARVs, TB, Lishe , magonjwa yaliyosahaulika kama busha na matende, chanjo za watoto na mambo mengi yapo chini ya hawa jamaa.
Wakati nipo OCEAN Road , kile kitengo cha radiation Unit na vifaa vyake vilikuwa chini ya ufadhili wa hawa jamaa. USAID wapo maeneo mengi sana hapo bongo ikiwemo kufadhili baadhi ya wanafunzi wa level za juu.
Kustopisha hii misaada madhara yake ni makubwa sana; hii kitu ikiwa full implemented for long Time, Kama Taifa tutakuwa na hali ngumu sana.
Kwenye perspective ya ukweli, Serikali ya Tanzania ni masikini mnoo, wenyewe hamtoweza kwa sababu viongozi wameshauza kila kitu na deni la taifa lipo juu.
Je , Rais Samia Umejipangaje...? Îkiwa Mama Mjamzito anatukanwa kwa kokosa gloves , je huu mzigo utakuaje…..?
Tuendelee kubandika mabango yako nchi nzima na promo za kibabe au tukae chini kujadili hili jambo?
Kwangu Mimi Trump yupo sahihi, Waafrica wana resources nyingi but ni too dependent Kama vilema.
Dr Megalodon Mushy, PhD Candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Kama utapenda msome Mohammed Saeed Al-Sahaf, Comical Ali. Story yake is so fascinating..Tanzania haitegemei dawa 80% Kwa USAid
Ila wasanii watachangaNgoja iwe hivyo na waimba mapambio wapungue
Huwenda zile bango za viongozi wetu nchi nzima, kulipia magoli ya Simba na Yanga, sherehe za kuzaliwa viongozi wetu zikaisha ili sasa kila fehda iende kwenye matumizi sahihi
Pumbavu sana machawa wote, huwenda sasa poshow zenu zikaishia hapa
Trump umebarikiwa
Akili sasa zitaturudia na hatutachagua viongozi kwa pupa