Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Nalipenda sana tunda la Stafeli, sijawahi kupata juice yake nitajaribu.
Tanx for sharing.
Pitia Mak Juice utapata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalipenda sana tunda la Stafeli, sijawahi kupata juice yake nitajaribu.
Tanx for sharing.
Eti eeh but napenda Home made.Pitia Mak Juice utapata.
Eti eeh but napenda Home made.
wanapatikana wapi hao wakubwa.Ni natural haijaongezwa chochote.
Maandalizi ya juice yake yanataka usafi wa hali ya juu hasa kwenye kutoa mbegu
Ndio maana siwezi kuinywa popote zaidi ya nikiindaa mwenyewe
Mkuu ni tamu balaa na pia wanasema ni tiba ya saratani(cancer).Nalipenda sana tunda la Stafeli, sijawahi kupata juice yake nitajaribu.
Tanx for sharing.
wanapatikana wapi hao wakubwa.
umenitamanisha.
Njoo Ilala mtaa wa Arusha Kama upo darNalipenda sana tunda la Stafeli, sijawahi kupata juice yake nitajaribu.
Tanx for sharing.
Nanasi je??Nimekula matunda mengi,ila hili tunda ni litamu si mchezo.
Ila halizidi nanasi nazani wazee wenzangu tunakubaliana kwa hili
Mada ni stafel brazakaka.Hakuna tunda sexy kama pineapple [emoji531][emoji531][emoji39]
Kuanzia shape harufu na ladha
Lini nitimbe utakuwepo??Njoo Ilala mtaa wa Arusha Kama upo dar
Hahaha nimepanda ulivyowahi kujihami, glass elfu 3 tunda elfu 3.... aisee acha tu niende kisutu nikanunue tunda nitengeneze mwenyewe.... lol.Mkuu ni tamu balaa na pia wanasema ni tiba ya saratani(cancer).
Natengeneza nyumbani mara chache sababu inasumbua sana kuchuja zile nyuzi nyuzi huziba chujio na hazisagiki kwa blender.
Kama upo hapa Dar nenda pale posta mpya kuna mgahawa unaitwa Rangers karibu na New Africa Hotel ukitokea Askari monument.
Glass moja 3000/= tu.
NOTE: sina hisa na huo mgahawa.
Sawaa, nitazungukia mitaa hiyo this weekend Mungu akinijaalia.Sinza Afrika sana, karibu na kituo cha mafuta cha State Oil.