Utengenezaji wa juisi ya Stafeli

Utengenezaji wa juisi ya Stafeli

Stafeli ndo chai yangu ya Kila siku...
Mimi huwa nayaagiza Mtwara tsh 500-1000 limoja,basi huwa nanunua gunia zima kabisa kuja Dar From Mtwara,siku nikichoka kuagiza nanunua pale sokoni MABIBO,Zamani nilikuwa nanunua Posta kisutu,limoja Tsh 3000-5000.kila siku asubuhi nakunya juice yake...pekee huwa ni mwiko kuweka sukari kwenye juice yoyote nyumbani kwangu...napenda vitu asili...wengine mpaka juice ya Nanansi wanaweka Sukari...
Aisee upo vizuri bro, gunia zima kwa matumizi tu ya home!! safi sanaa.

Ni kinga na tiba ya kansa, hata majani yake.
 
Aisee upo vizuri bro, gunia zima kwa matumizi tu ya home!! safi sanaa.

Ni kinga na tiba ya kansa, hata majani yake.
Gunia zima...
Huwa nachukua mabichi kabisa mpaka yafike Dar huwa yanaiva na joto baadhi na baadhi yanakuwa mabichi so huwa ndani ya wiki 2 yanakuwa yameisha Mkuu.
 
Hahaha nimepanda ulivyowahi kujihami, glass elfu 3 tunda elfu 3.... aisee acha tu niende kisutu nikanunue tunda nitengeneze mwenyewe.... lol.
Ukweli ni kuwa hiyo bei kubwa sana. Mwanzo ilikuwa 2000/= tu, watu waliipenda sana inaisha mapema kuliko juice zingine wakapata tamaa wakaongeza bei.
Nikinunua stafeli za 8000/= napata juice nzito sana kama lita 4 hadi 5.

Sema kwa kijana ambae hajaoa/kuolewa hawezi kuvumilia usumbufu wa kuitengeneza. Bora lunch time hiyo kama anajieweza anazama hapo Rangers anapiga menu ya nguvu na glass 1 ya juice anasepa zake.

Sema bei ya chakula hapo sehemu sio ya mtu wa mshahara wa laki 4 au 5 hatanunua tofali.
 
Ukweli ni kuwa hiyo bei kubwa sana. Mwanzo ilikuwa 2000/= tu, watu waliipenda sana inaisha mapema kuliko juice zingine wakapata tamaa wakaongeza bei.
Nikinunua stafeli za 8000/= napata juice nzito sana kama lita 4 hadi 5.

Sema kwa kijana ambae hajaoa/kuolewa hawezi kuvumilia usumbufu wa kuitengeneza. Bora lunch time hiyo kama anajieweza anazama hapo Rangers anapiga menu ya nguvu na glass 1 ya juice anasepa zake.

Sema bei ya chakula hapo sehemu sio ya mtu wa mshahara wa laki 4 au 5 hatanunua tofali.
Daah bora tu nimsubiri my mum MBITIYAZA anitengenezee huko hapanifai aiseee.
 
MBITIYAZA weka na faida zake mwilini
itapendeza zaidi.
Mmimi ninao huo mti nikikuwa nataka kuukata
sasa kama una faida sitaukata.
 
MBITIYAZA weka na faida zake mwilini
itapendeza zaidi.
Mmimi ninao huo mti nikikuwa nataka kuukata
sasa kama una faida sitaukata.
Mkuu huo mti kila kitu tiba.
Hutibu saratani (cancer) na hulainisha choo,
Pia husababisha tumbo kuwa vizuri? n.k.
 
Me mwenyewe nadoea... labda nikushtue siku nikialikwa.
asa hapo duh!! mwalikwa nae anaalika ....si itakua ile wanasema unapandishwa lift hadi honi unapiga!

basi we fanya kwenda na kachupa unitiliemo humo kwenye kachupa
 
Mkuu huo mti kila kitu tiba.
Hutibu saratani (cancer) na hulainisha choo,
Pia husababisha tumbo kuwa vizuri? n.k.
Asante mkuu kwa darasa,
je ni matunda yake tu au na majani pia?
matunda yake yanashambuliwa sana na wadudu
ndo kisa cha mimi kutaka kuukata.
 
zuri kwakweli mwanangu !jaribu hiyo pia !nimebahatika kupata miche yake bas kila mara naiangalia ikue tu jaman !lol
Oh!, hata Mimi nalipenda sana,hili tunda, hivi miche yake nawezaipata wapi Kwa hapa Dar?
Nataman nipande hata miwili tu
 
asa hapo duh!! mwalikwa nae anaalika ....si itakua ile wanasema unapandishwa lift hadi honi unapiga!

basi we fanya kwenda na kachupa unitiliemo humo kwenye kachupa
Hahahaha nimepewa lift napiga honi....

Basi poa nitakuletea kwenye chupa kama wakiniruhusu kubeba lakini au kama vipi twende tu huko Rangers nasikia Glass elfu 8.
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hahahaha nimepewa lift napiga honi....

Basi poa nitakuletea kwenye chupa kama wakiniruhusu kubeba lakini au kama vipi twende tu huko Rangers nasikia Glass elfu 8.
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
itabidi tu arrange kwakweli, wewe unataka glasi ngapi mkuu...
 
Back
Top Bottom